Khah, First Date iliyonitoa jasho. . .

vile vijiti navichukulia twisheni
ila siku hizi nshakuwa mtu mzima
nakula kwa mkono au vyovyote ntakavyokuwa confotabo.

Pale ilikuwa na ka ujana.

Ha..ha..ha nakuelewa sana Kisu na Uma ni changamoto sana,ila siku ukialikwa kwa mchina utajua umuhimu wa kutovunga kuomba maji ya kunawa mikono...afadhali uma na kisu lakini kuna vile vijiti yaani sitaki kuvisikia kabisa vilishawahi kunilaza njaa mimi.Kisa na mimi nionekane hawavumi lakini wamo ilibidi asubuhi ninawe mikono mwenyewe ili kuziba mashimo.
 
na nyie elezeeni basi
ntafuta na mie yangu
ibaki heding'i tu
 
basi kipindi hicho kabinti nachipukia
kabyuti byuti ila sio sana.

Nimeombwa kutolewa out na kijana wa haja
baada ya kukalkuleti nikawa nishafika bei, nikakubali kutoka naye.

As usual, kama kwenye avatar yangu kibinti cha half kijijini/half mjini.

Nikajipigilia kile nilichoona ni kizuri kuliko vyote, hata mwizi angeingia na kubeba sanduku siku hiyo sikuwa na hasara.

Huyoo, nikaenda dinner.
Nadhani nilikuwa over excited
na kama kawaida yangu, I keep it real
nikaona kweli huyu kuku akatupwe? Roho ikakataa kabisa.
Kijana akajichanganya, akaenda toilet
mie huku nikaruka kwa furaha
Nikamfunga kwenye tissue paper yule kuku nikamtumbukiza pochini

basi tumepiga stori weee, mara muda wa kuondoka ukafika
tukatoka nje, wote hatukuwa na magari
akaniambia nimsubiri pale afuate tax
kama dakika 5

siku ya kufa nyani ndo ilikuwa ile
ile kaondoka niko nje ya hotel namsubiri
patrol inapita, kulikuwa na wageni wazito kwenye hotel hiyo wa kiserikali sie hatuna habari
si polisi wakanibeba kuelekea central polisi, uzuri nikamcal fasta nikamwambia anifuate

kufika pale, pochi hukaguliwa na kuorodheshwa vilivyomo
wakati bado naandikisha mali zangu ili niingie lock up
huyu hapa naye kafika
anashangaa yule kuku wa dinner anatokea kwenye pochi.
Akauchuna tu, akaongea nao hapo akawaachia kidogo
tukaondoka.

Jamani yule kuku alini-embarass hadi uzeeni huwa ananitania sana.
Eti kuku nilimla akafufukia kwenye pochi.

Ulishawahi patwa mkasa kwenye first date?
Hebu tupe mistari yako. . . .

Umenikumbusha hadithi za Alfu Lela U lela au siku alfu na moja. Fiction tupu!
 
edit basi udelete hiyo ulokopi
afu ibaki koment yako tu
inakuwa nzuri zaidi kusoma.

Sababu story ndefu afu kaupondaji kafupi sana.

Umenikumbusha hadithi za Alfu Lela U lela au siku alfu na moja. Fiction tupu!
 
basi kipindi hicho kabinti nachipukia
kabyuti byuti ila sio sana.

Nimeombwa kutolewa out na kijana wa haja
baada ya kukalkuleti nikawa nishafika bei, nikakubali kutoka naye.

As usual, kama kwenye avatar yangu kibinti cha half kijijini/half mjini.

Nikajipigilia kile nilichoona ni kizuri kuliko vyote, hata mwizi angeingia na kubeba sanduku siku hiyo sikuwa na hasara.

Huyoo, nikaenda dinner.
Nadhani nilikuwa over excited
na kama kawaida yangu, I keep it real
nikaona kweli huyu kuku akatupwe? Roho ikakataa kabisa.
Kijana akajichanganya, akaenda toilet
mie huku nikaruka kwa furaha
Nikamfunga kwenye tissue paper yule kuku nikamtumbukiza pochini

basi tumepiga stori weee, mara muda wa kuondoka ukafika
tukatoka nje, wote hatukuwa na magari
akaniambia nimsubiri pale afuate tax
kama dakika 5

siku ya kufa nyani ndo ilikuwa ile
ile kaondoka niko nje ya hotel namsubiri
patrol inapita, kulikuwa na wageni wazito kwenye hotel hiyo wa kiserikali sie hatuna habari
si polisi wakanibeba kuelekea central polisi, uzuri nikamcal fasta nikamwambia anifuate

kufika pale, pochi hukaguliwa na kuorodheshwa vilivyomo
wakati bado naandikisha mali zangu ili niingie lock up
huyu hapa naye kafika
anashangaa yule kuku wa dinner anatokea kwenye pochi.
Akauchuna tu, akaongea nao hapo akawaachia kidogo
tukaondoka.

Jamani yule kuku alini-embarass hadi uzeeni huwa ananitania sana.
Eti kuku nilimla akafufukia kwenye pochi.

Ulishawahi patwa mkasa kwenye first date?
Hebu tupe mistari yako. . . .
Usinikumbushe nilivotoka na raba mtoni zangu za kuazima. Zilinibanaje?

Anyway, mie kisa changu hakiko kwenye first date.
Nikiwa na ukubwa wangu kabisa nikapata kimwana...
Ili kumwonyesha kweli nafanya kazi BOT, nikaazima garrri ya mshikaji
Nikapitia fuel station kujaza wese, kidemu kikiwa pembeni ili nipige full kipupwe.....

MUNGU wangu, sehemu ya kufungulia tank ya mafuta niionee wapi?
Niliitafutaje? Nguo ya kuzima haisetiti masabur.i asee!

Ngoja niishie hapo manake hapo ni tela tu.....
Mbeya yoyote anayetaka niendelee kusimulia anyooshe kidole juu
 
basi kipindi hicho kabinti nachipukia
kabyuti byuti ila sio sana.

Nimeombwa kutolewa out na kijana wa haja
baada ya kukalkuleti nikawa nishafika bei, nikakubali kutoka naye.

As usual, kama kwenye avatar yangu kibinti cha half kijijini/half mjini.

Nikajipigilia kile nilichoona ni kizuri kuliko vyote, hata mwizi angeingia na kubeba sanduku siku hiyo sikuwa na hasara.

Huyoo, nikaenda dinner.
Nadhani nilikuwa over excited
na kama kawaida yangu, I keep it real
nikaona kweli huyu kuku akatupwe? Roho ikakataa kabisa.
Kijana akajichanganya, akaenda toilet
mie huku nikaruka kwa furaha
Nikamfunga kwenye tissue paper yule kuku nikamtumbukiza pochini

basi tumepiga stori weee, mara muda wa kuondoka ukafika
tukatoka nje, wote hatukuwa na magari
akaniambia nimsubiri pale afuate tax
kama dakika 5

siku ya kufa nyani ndo ilikuwa ile
ile kaondoka niko nje ya hotel namsubiri
patrol inapita, kulikuwa na wageni wazito kwenye hotel hiyo wa kiserikali sie hatuna habari
si polisi wakanibeba kuelekea central polisi, uzuri nikamcal fasta nikamwambia anifuate

kufika pale, pochi hukaguliwa na kuorodheshwa vilivyomo
wakati bado naandikisha mali zangu ili niingie lock up
huyu hapa naye kafika
anashangaa yule kuku wa dinner anatokea kwenye pochi.
Akauchuna tu, akaongea nao hapo akawaachia kidogo
tukaondoka.

Jamani yule kuku alini-embarass hadi uzeeni huwa ananitania sana.
Eti kuku nilimla akafufukia kwenye pochi.

Ulishawahi patwa mkasa kwenye first date?
Hebu tupe mistari yako. . . .

heheheheheeeheeeeee konnie we mkare..
 
ha ha ha, nitoroke wakati nshafika bei??

Ilitokea tu.

Aah.. Wacha bana Konnie..

Sasa ungemla saa ngapi kuku wako?! Maana nilidhani baada ya mlo ni "mambo"

Konnie umewahi kula "Brenda Fassie"? Sema mkubwa sana,ila kwa uma na kisu,aah raha kula kuliko kuku!
 
Back
Top Bottom