Neiwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 728
- 633
Kwahiyo akikupeleka/tembea na wewe tu bila kukuchukua jumla ana heshima kwa wanawake? Labda mama yake mzazi. . .ila sio huyo mke wala hawara..
Unamana gani unaposema kuchukua jumla? sijakupata vema.... Hata hivo tumeona wanaume ni wengi ambao wameoa wanatembea nje... sababu za kutembea huko nje zimetofautiana na ni topic nyingine kabisa. Kwamba akitembea na wewe hali akiwa na mke hamheshim huyo mwanamke? sio lazima... Inaweza ikawa kweli ama lah! Anaweza akawa na mke akatembea na mwanamke mwengine na akamheshimu vile vile... Akaheshim mke na huyo mwanamke pia.