Recta
JF-Expert Member
- Dec 8, 2006
- 855
- 38
Ushangiliaji wa waTanzania kwa Ivory Coast jana ni uthibitisho kamili kuwa waTanzania hawajali ushindi wa nchi bali mtu/watu. Wanaona kushangilia Drogba ni bora zaidi (kwa kuwa ni mchezani wa Chelsea) kuliko kuishangilia timu ya Taifa.
Nadhani JK alikwenda kuangalia hilo. Nina imani atakuwa ameogopa sana kuona hali hiyo. Maana kama wananchi wakiendelea hivyo, basi ina maana watachagua mtu kwenye uchaguzi ujao badala ya chama, na kwa popularity yake, atakuwa matatani (kura zitapungua sana). Ila sijui nani atakaekuwa mpinzani wake. Maana anaitajika Drogba kumng'oa.
Nadhani JK alikwenda kuangalia hilo. Nina imani atakuwa ameogopa sana kuona hali hiyo. Maana kama wananchi wakiendelea hivyo, basi ina maana watachagua mtu kwenye uchaguzi ujao badala ya chama, na kwa popularity yake, atakuwa matatani (kura zitapungua sana). Ila sijui nani atakaekuwa mpinzani wake. Maana anaitajika Drogba kumng'oa.