Kha Kumbe JK yuko Sahihi!

Sisi Watanzania ni wababaishaji sana:-

  • CD/Tape whatever ilikuwa ina nyimbo za taifa iligoma kuimba wimbo especially wimbo wa Tanzania hakuanza vizuri, na sauti ilikuwa ya chini... hivyo watu hawakuwa attentive kusimama wakati wimbo wa wa Taifa unaimbwa.
  • Mshereheshaji hakuandaa watu vizuri wakati wa playing of national anthems.
  • Wakati wa kutoa heshima kwa aliyekuwa makamu wa Rais na Waziri mkuu wa Zamani ubabaishaji ukawepo. watazamaji walidhani wanamsikiliza mshereheshaji badala ya refa. Hivyo wakati wengine wako kimya na wamesimama, wengine wanapiga miluzi wengine makofi, na wengine walikuwa wamekaa. Kwa kweli pale uwanjani zaidi ya wachezaji waliokuwa na vitambaa vyeusi... wengine wala hatukumuenzi mzee wetu.
  • Mabango ya NMB yakikuwa yamewekelewa mifuko ya mchanga iliyasianguke.
  • Watu waruka kutoka kwenye vitu vya juu kwenda vya chini bila majeshi ya usalama kufanya lolote, hiyo inaweza kuleta madhara makubwa sana.
  • Screen kubwa ya uwanja haikuwashwa sijui manager wa uwanja anadhani wachina waliweka kama furniture.
  • Mwisho ushangiliaji wa Cote De Voir ni upuuzi wa hali ya juu na unahijati kukemewa.
UZALENDO WETU UKO CHINI SANA NA KWA HAKIKA UNASIKITISHA SANA.
 
Umesahau yule jamaa aliyekuwa anaongea English kwenye matangazo alikuwa anaharibu ile mbaya heri angetumia kiswahili tu
 
Mkuu huoni kuwa angalau hapo kwenye mpira wa-TZ wanaonyesha msimamo uliokomaa zaidi kwa kushangilia gemu safi tu (hata kama si la upande wao) tofauti na uzalendo wa kinafiki wanaouonyesha katika siasa kwa kuchagua na kupigia makofi uozo miaka nenda miaka rudi.
Hapo umeongea Drifter, hata mimi nnajiuliza kama kwenye football watanzania wanaweza kuchambua ubora wa football na kushangilia na si kushangilia tu hata uozo, wanashindwaje kureplicate hiyo tabia hata kwenye siasa kama vile ambavyo Kenya na Zambia wanavyofanya?
Ukweli wa mambo ni kuwa kwa mtu anayependa football lazima atakuwa impressed na a display of good football na ndio maana karibu managers wote wa premiership huwa wana admit kwamba huwa wanavutiwa sana na football ya Arsenal. Lakini kwa wanazi wa mpira wao wanashangilia timu hata kama ni uozo mtupu.
 
Sisi Watanzania ni wababaishaji sana:-

  • Mwisho ushangiliaji wa Cote De Voir ni upuuzi wa hali ya juu na unahijati kukemewa.
UZALENDO WETU UKO CHINI SANA NA KWA HAKIKA UNASIKITISHA SANA.

- Wakuu vipi Demokrasia haitumiki kwenye michezo? Yaani mwananchi anaona 2 mnataka waseme 4, wananchi wana haki ya kumshangilia yule anayeonyesha wanachokitaka yaani ujuzi wa mchezo,

- Yaani wananchi wamewekewa pumba na mchele mnataka washangilie pumba, Tanzania tutaendelea kukumbatia pumba mpaka lini?

Respect.


FMEs!
 
- Wakuu vipi Demokrasia haitumiki kwenye michezo? Yaani mwananchi anaona 2 mnataka waseme 4, wananchi wana haki ya kumshangilia yule anayeonyesha wanachokitaka yaani ujuzi wa mchezo,

- Yaani wananchi wamewekewa pumba na mchele mnataka washangilie pumba, Tanzania tutaendelea kukumbatia pumba mpaka lini?

Respect.

FMEs!

FMEs:

Chukua tano. Kuna vitu havitaki emotions na vinahitaji kumpa pongezi hata mpinzani wako kwa juhudi na maarifa yake.

Barcelona na Real Madrid ni wapinzani wa damu. Lakini Barca ilipoizamisha Madrid ndani ya uwanja wao, washabiki wa Madrid hawakusita kumpa pongezi Ronaldinho.
 
Back
Top Bottom