Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

Vicky Kamata ameungukia pua kwenye kesi ya mirathi ya aliyekuwa mume(danga) wake Dr. Servacius Beda Likwelile. Mahakama imesema ndoa hiyo haikuwa halali kwa sababu Dr. Likwelile alikuwa ameoa hapo mwanzo na hajawahi kutalikiana na mke wake.

Hivyo ndoa ya Vicky Kamata haikuwa halali na hivyo hahusiki kwenye mgao wa mali za marehemu, warithi halali ni watoto wake na wengine waliomo kihalali.

★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★

"The late Dr. Servacius Beda Likwelile died intestate on 19th February 2021. Since his demise, his estate, however, has never been peaceful. Before this court was a legal battle between his children and Vicky Paschal Kamata styled as his legal wife"

IT IS HEREBY ORDERED THAT:

i. The caveat is fails.

ii. That the caveator Vicky Paschal Kamata was not the legally married to the deceased.

iii. That the properties listed in the petition should not be excluded from the estate of the deceased.

iv. That the petitioner Raymond Babu Likwelile is appointed to administer the estate of the deceased.

v. That, before letters are issued to him, he should comply with rule 66 of the Probate and Administration Rules, by providing the administration bond to be twice the gross value of the estate, which has been estimated at 4 billion. This is to be done in 14 days from the day of this judgement.

vi. No order as to costs.

View attachment 2755525View attachment 2755526View attachment 2755527
Samahani, nisaidie kujua Dr Likwelile alikuwa anafanya kazi gani? Kiongozi Serikalini? Mfanyabiashara? Daktari wa hospitalini? Ahsante
 
Vicky Kamata ameungukia pua kwenye kesi ya mirathi ya aliyekuwa mume(danga) wake Dr. Servacius Beda Likwelile. Mahakama imesema ndoa hiyo haikuwa halali kwa sababu Dr. Likwelile alikuwa ameoa hapo mwanzo na hajawahi kutalikiana na mke wake.

Hivyo ndoa ya Vicky Kamata haikuwa halali na hivyo hahusiki kwenye mgao wa mali za marehemu, warithi halali ni watoto wake na wengine waliomo kihalali.

★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★

"The late Dr. Servacius Beda Likwelile died intestate on 19th February 2021. Since his demise, his estate, however, has never been peaceful. Before this court was a legal battle between his children and Vicky Paschal Kamata styled as his legal wife"

IT IS HEREBY ORDERED THAT:

i. The caveat is fails.

ii. That the caveator Vicky Paschal Kamata was not the legally married to the deceased.

iii. That the properties listed in the petition should not be excluded from the estate of the deceased.

iv. That the petitioner Raymond Babu Likwelile is appointed to administer the estate of the deceased.

v. That, before letters are issued to him, he should comply with rule 66 of the Probate and Administration Rules, by providing the administration bond to be twice the gross value of the estate, which has been estimated at 4 billion. This is to be done in 14 days from the day of this judgement.

vi. No order as to costs.

View attachment 2755525View attachment 2755526View attachment 2755527
Kimenisikitisha hicho Kingereza kilichopo kwenye hukumu.

Dah, Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda. Ikiwa judge ndio hivyo, judgment si itatupiliwa mbali mahakama ya rufaa kwa lugha tu hiyo.
 
Kimenisikitisha hicho Kingereza kilichopo kwenye hukumu.

Dah, Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda. Ikiwa judge ndio hivyo, judegement siu itatupiliwa mbali mahakama ya rufaa kwa lugha tu hiyo.
Kwahiyo anaenda kushinda kisa lugha? Acha kumshauri ujinga, amekuwa mbunge kwa miaka 10 lakini bado anataka kudhulumu mali za watu. Tamaa mbaya sana.
 
Lakini si ana mtoto na huyo marehemu? Wakati mwingine tuache vingine vitupite. Kama amezaa nae na ni watoto halali wa huyo mzee wanastahili pia.

Na kama mali imeandikwa jina langu huwezi kuiweka kwenye mali za marehemu. Maana nikisoma vielelezo kuna mali hapo inaonesha imeandikwa kwa jina la Vick. Tusishabikie sana maana hakuna msafi hapa. Basi tu za kwetu hazijulikani.
 
Back
Top Bottom