stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 9,112
- 17,925
Muulize Vicky Kamata kwani lazima alipwe kwa kugegedwa na Marehemu?Kwani ukigongwa mpaka ulipwe? Huhitaji kugongwa?
Muulize Vicky Kamata kwani lazima alipwe kwa kugegedwa na Marehemu?Kwani ukigongwa mpaka ulipwe? Huhitaji kugongwa?
Samahani, nisaidie kujua Dr Likwelile alikuwa anafanya kazi gani? Kiongozi Serikalini? Mfanyabiashara? Daktari wa hospitalini? AhsanteVicky Kamata ameungukia pua kwenye kesi ya mirathi ya aliyekuwa mume(danga) wake Dr. Servacius Beda Likwelile. Mahakama imesema ndoa hiyo haikuwa halali kwa sababu Dr. Likwelile alikuwa ameoa hapo mwanzo na hajawahi kutalikiana na mke wake.
Hivyo ndoa ya Vicky Kamata haikuwa halali na hivyo hahusiki kwenye mgao wa mali za marehemu, warithi halali ni watoto wake na wengine waliomo kihalali.
★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
"The late Dr. Servacius Beda Likwelile died intestate on 19th February 2021. Since his demise, his estate, however, has never been peaceful. Before this court was a legal battle between his children and Vicky Paschal Kamata styled as his legal wife"
IT IS HEREBY ORDERED THAT:
i. The caveat is fails.
ii. That the caveator Vicky Paschal Kamata was not the legally married to the deceased.
iii. That the properties listed in the petition should not be excluded from the estate of the deceased.
iv. That the petitioner Raymond Babu Likwelile is appointed to administer the estate of the deceased.
v. That, before letters are issued to him, he should comply with rule 66 of the Probate and Administration Rules, by providing the administration bond to be twice the gross value of the estate, which has been estimated at 4 billion. This is to be done in 14 days from the day of this judgement.
vi. No order as to costs.
View attachment 2755525View attachment 2755526View attachment 2755527
Kimenisikitisha hicho Kingereza kilichopo kwenye hukumu.Vicky Kamata ameungukia pua kwenye kesi ya mirathi ya aliyekuwa mume(danga) wake Dr. Servacius Beda Likwelile. Mahakama imesema ndoa hiyo haikuwa halali kwa sababu Dr. Likwelile alikuwa ameoa hapo mwanzo na hajawahi kutalikiana na mke wake.
Hivyo ndoa ya Vicky Kamata haikuwa halali na hivyo hahusiki kwenye mgao wa mali za marehemu, warithi halali ni watoto wake na wengine waliomo kihalali.
★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★
"The late Dr. Servacius Beda Likwelile died intestate on 19th February 2021. Since his demise, his estate, however, has never been peaceful. Before this court was a legal battle between his children and Vicky Paschal Kamata styled as his legal wife"
IT IS HEREBY ORDERED THAT:
i. The caveat is fails.
ii. That the caveator Vicky Paschal Kamata was not the legally married to the deceased.
iii. That the properties listed in the petition should not be excluded from the estate of the deceased.
iv. That the petitioner Raymond Babu Likwelile is appointed to administer the estate of the deceased.
v. That, before letters are issued to him, he should comply with rule 66 of the Probate and Administration Rules, by providing the administration bond to be twice the gross value of the estate, which has been estimated at 4 billion. This is to be done in 14 days from the day of this judgement.
vi. No order as to costs.
View attachment 2755525View attachment 2755526View attachment 2755527
Akate rufaa atapewa Maokoto unamshauri?Kimenisikitisha hicho Kingereza kilichopo kwenye hukumu.
Dah, Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda. Ikiwa judge ndio hivyo, judegement siu itatupiliwa mbali mahakama ya rufaa kwa lugha tu hiyo.
Kwahiyo anaenda kushinda kisa lugha? Acha kumshauri ujinga, amekuwa mbunge kwa miaka 10 lakini bado anataka kudhulumu mali za watu. Tamaa mbaya sana.Kimenisikitisha hicho Kingereza kilichopo kwenye hukumu.
Dah, Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda. Ikiwa judge ndio hivyo, judegement siu itatupiliwa mbali mahakama ya rufaa kwa lugha tu hiyo.
Adake mstaafu chapuhahaha, akasake danga lingine linalokaribia kufa
mtaji kipochi manyoya
Hana tofauti na Jacqueline wanasubiri mali za kitapeli wajinga wakubwa hawaHuyu si ndo inspirational wa wanawake Tanzania?? Aliwaimbia mpaka wimbo wafanye kazi wapate MAENDELEO??
Kumbe kazi kudanga??
Kusuburi watu wafe akadai mirathi kortini??
In this world trust nobody!!!
Wanyama pori (TAWA)Ni msemaji wa mamlaka ya misitu Tanzania. TFS
Ndiyo kagongwa bureKwa hio kipindi hicho chote Cha uhai wa Marehemu Ina maana aambui chochote means amegongwa bure?
Akamdai marehemu kaburiniKuna mwanamke anaekubari kugongwa bure kwenye dunia hii?
Ndiyo ishatokea mkuu. Kagongwa bureKuna mwanamke anaekubari kugongwa bure kwenye dunia hii?
Kwa hio kipindi hicho chote Cha uhai wa Marehemu Ina maana aambui chochote means amegongwa bure?
Na ndicho kinachofuata, anategesha kwa mstaafu mwingine anayekaribia kudanja.Adake mstaafu chapu
Amekuwa mbunge miaka 10 pesa anakosaje? Ni ujinga wake na tamaa ya maisha ya juu.Kosa kubwa la Vicky ni kuwanyanyasa watoto wa marehemu! Angekula nao vizuri wala yasingemkuta haya. Tatizo ni tamaa ya kutaka kumiliki mali peke yake huku watoto wakiteseka. Hakujifunza kwa K-Lyn?
Hana tofauti na Jacqueline wanasubiri mali za kitapeli wajinga wakubwa hawa