mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,080
- 35,999
Chenge aliwahi kusema bilioni moja ni vijisenti mkamjia juu,mama tibaijuka akasema ni hela ya mboga tu mkapaza sauti,sasa hukumu iliyosomwa wiki hii katika kesi ya mirathi inayohusu Dkt. likwelile imeonyesha alikuwa akimiliki mali za bilioni 4.
Aliwahi kuwa katibu mkuu hazina kwa kipindi kifupi ila muda mwingi amekuwa lecturer UDSM.
Kuna watu wanaila hii nchi,ila uzuri wakifa wanaziacha.
Tafuteni hela maisha sio magumu
Aliwahi kuwa katibu mkuu hazina kwa kipindi kifupi ila muda mwingi amekuwa lecturer UDSM.
Kuna watu wanaila hii nchi,ila uzuri wakifa wanaziacha.
Tafuteni hela maisha sio magumu