Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Tujiandae kwa uchaguzi mdogo wa Ubunge Arusha Mjini. Kesi hii imekula kwa Lema....na kuna dalili kuwa ubunge ndo bye bye manake huenda asiruhusiwe kugombea tena kutokana na uzito wa kosa na matusi dhidi ya mgombea mwenzake. Pia iwapo atabahatika kugombea, hakika atabwagwa. Wana Arusha wameshatambua kuwa walifanya kosa kubwa kumchagua mhuni.
Acha kutulisha maneno yako ya ajabu wewe