joseeY
Senior Member
- Nov 4, 2010
- 108
- 17
Kama kweli hayo yalitamkwa kweli ni makosa, lkn nini hatma ya kesi na jimbo? Endapo Mh. Godbless Lema atashindwa na kuvuliwa ubunge, ninachokiona mimi hapo ni kujitia gharama za kurudia uchaguzi kwa sababu za k i p u u z i. Hata uchaguzi ukirudiwa Buriani hana ubavu wa kushinda kutokana na namna alivyobwagwa.
Na pia izingatiwe kuwa Mh. Lema ameshaijengea CHADEMA jina kubwa bungeni kwa kuwa mmoja kati ya wachangiaji wazuri ndani na nje ya bunge. CCM iache kupoteza muda na Arusha mjini, badala yake ijiandae kwa uchaguzi wa Monduli kwani Nepi Naehuyu ametuahidi kuwa baada ya uchaguzi wa Igunga, magamba mengine yaliyobaki yatang'olewa kwa nguvu.
Na pia izingatiwe kuwa Mh. Lema ameshaijengea CHADEMA jina kubwa bungeni kwa kuwa mmoja kati ya wachangiaji wazuri ndani na nje ya bunge. CCM iache kupoteza muda na Arusha mjini, badala yake ijiandae kwa uchaguzi wa Monduli kwani Nepi Naehuyu ametuahidi kuwa baada ya uchaguzi wa Igunga, magamba mengine yaliyobaki yatang'olewa kwa nguvu.