Mi nilihoji siku za nyuma kwa nini wanawapa haki za kuwa nje ya dhamana wakati wameiba mali za wananchi?
Watu wakasema ni haki ya mtuhumiwa haya sasa huyooooooo katembea na kiloba cha pesa zote.
Aise kama hii ni kweli basi mahakama (jopo la mahakimu husika) wawajibike kwani Mawakili wa Serikali walipinga sana jamaa kupewa dhamana kutokana na sababu kuu mbili
1. Aliwasilisha mahakamani passport iliyokwisha muda
2. Ametoa 1.4% ya dhamana stahili tena katika hiyo 1.4% kuna kuku, mbuzi, kondoo nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.