Kesi ya Liyumba, Utata na Maendeleo yake

Status
Not open for further replies.
Aise kama hii ni kweli basi mahakama (jopo la mahakimu husika) wawajibike kwani Mawakili wa Serikali walipinga sana jamaa kupewa dhamana kutokana na sababu kuu mbili
1. Aliwasilisha mahakamani passport iliyokwisha muda
2. Ametoa 1.4% ya dhamana stahili tena katika hiyo 1.4% kuna kuku, mbuzi, kondoo nk

Hapa lazima mahakama iwajibike.

Passport iliyokwisha muda ilikubalika vipi kuwa kama valid document?
No verifications procedures?
Hakimu anaweza kupewa pesa ambayo hawezi kuiingiza maisha yake yote ya uhakimu...Rushwa na WIZI MTUPU!
 
tehe tehe.....si pass yake iliisha muda?
katoroka nje ya nchi au?

Tatizo ni upuuzi wa mahakama (forgive me) walipokea pass iliyokwisha muda wakamuachia nyingine, tena mawakili wa Serikali walipinga sana suala hilo. Hapa mahakama iwajibike. Siyo kila siku Serikali tu, mawaziri etc sasa mahakama pia iwajibike.
 
Aise kama hii ni kweli basi mahakama (jopo la mahakimu husika) wawajibike kwani Mawakili wa Serikali walipinga sana jamaa kupewa dhamana kutokana na sababu kuu mbili
1. Aliwasilisha mahakamani passport iliyokwisha muda
2. Ametoa 1.4% ya dhamana stahili tena katika hiyo 1.4% kuna kuku, mbuzi, kondoo nk

Hapa lazima mahakama iwajibike.

Hii mimi nimeishangaa na mpaka sasa sipati jibu, well sinema hiyo sasa itaendelea kwa mtindo wa kusingizia Liyumba kila tuhuma kesi itakapoanza kusikilizwa.
 
Passport iliyokwisha muda ilikubalika vipi kuwa kama valid document?No verifications procedures?
Hakimu anaweza kupewa pesa ambayo hawezi kuiingiza maisha yake yote ya uhakimu...Rushwa na WIZI MTUPU!


It's obvious kwamba hakimu/mahakama imehusika moja kwa moja katika hili. Hakimu anatakiwa kufunguliwa mashtaka straight away!
OMG! I can't breath!
 
Tehe, tehe

Yanafuatia ya USA sasa, tutaambiwa kuna maziko sasa hivi sijui itakuwa South Africa au labda UK.


Apa tupo ukurasa mmoja,, hili picha ndo kwaaanza linaanza wajameni wala msiwe na haraka ya kuwahi nyumbani!
 
Ni bora atafutwe na afungwe hela yote aliyopiga anashindwa hata kufungua kiwanda (kuinvest kwa ujumla) anajenga nyumba ya hela kubwa hivyo na kukaa mwenyewe na kuchapa raha na vidosho. Mwanamuziki au mwanamichezo akitumia pesa hizo kimtindo huo poa, lakini jamaa ni msomi na amepata shavu kubwa katika taasisi kubwa na tajiri kuliko zote bongo.

Manake kama kuwekeza nje pia imekula kwao, manake reccession inayoendela imeanzia kwenye taasisi za fedha.

Ama kweli miafrika ndio tulivyo!
 
Lahaula! another Balali! huyu atakuwa akiagiza atumbukizwe kwenye pipa la acid ili hata majivu yasinekane1
 
Well, simo bado ni lile lile - WATU na MAZINGIRA..mlitegemea kitu gani nyie mnaozungumzia sheria ktk mazingira ya Kiafrika..
Binafsi nilitegemea hili kutokea laa sivyo kuendelea kuhonga mahakimu na wengine kutumia wa wachawi kutafuta viungo vya watu ili kesi zizimike, ndio option zilizopo..
Nina hakika hata hao walioko nje kina Mramba wanajishughulisha na moja ya hayo hapo juu, sheria na haki haiwezi kusimama kwa Wadanganyika.. kwani NDIVYO TULIVYO!
 
Tehe, tehe

Jana niliomba ufafanuzi mimi kuhusiana na maamuzi ya Hakimu Khadija.

Na sasa nahisi yatafuatia ya USA, tutaambiwa kuna maziko sasa hivi sijui itakuwa South Africa au labda UK.

Inasemekana hakimu Hadija "ameshachukuliwa" na TAKUKURU ..... tunaomba confirmation kwa mlioko huko.
 
lakini kwani jamaa wakati anadhaminiwa hakunyang'anywa paspoti yake ?

Si alitoa passport iliyokwisha muda wake?
Kama ni kweli basi kuna kazi na hata Hakimu aliyetoa dhamana anajua nini kinaendelea maana mazingira ya kumpa dhamana yalikuwa na utata.
 
Baadae tutaambiwa yuko marekani, tena mgonjwa ..... kisha watasema amefariki na mazishi hukohuko Marekani!

Yale yale ya Balali.
 
Sasa hivi mtasikia kuwa amefia ughaibuni azishi yake ni mpaka kwa mwaliko maalum!!!
Njama ilikuwa bayana pale dhamana ya bil 55 iliposhushwa mpaka mil. 880! Kesi hii ni lazima izue kesi.
 
Sasa hivi mtasikia kuwa amefia ughaibuni azishi yake ni mpaka kwa mwaliko maalum!!!
Njama ilikuwa bayana pale dhamana ya bil 55 iliposhushwa mpaka mil. 880! Kesi hii ni lazima izue kesi.
Au labda yuko hapahapa Dar amejichimbia Uswazi? ansubiri ishu ipoe kisha anaishia kiulaini.
 
Naona Michuzi ameweka hiii hewani, so channel za data zinaanza kushughulikia kuleta information.

Kwani Tanzania siku hizi wamefanikiwa kudhibiti upatikanaji wa passport kirahisi. I remember ilikua kama una mshiko wako basi passport inachongwa fasta fasta....
 
Inasemekana hakimu Hadija "ameshachukuliwa" na TAKUKURU ..... tunaomba confirmation kwa mlioko huko.

hakimu hajachukulwia na yeyote. Fali ndilo limeitishwa Mahakama Kuu (nadhani kwa ajili ya kuangalia kwa nini alipewa dhamana tofauti na masharti). hakimu ndiye aliyewaachia wadhamini wa Liumba yapata nusu saa iliyopita. jana alitoa hati ya kukamatwa Liumba na kuletwa mahakamani lakini hakupatikana nyumbani wala kwa jirani, simu yake kaputi ndipo walipotafutwa wadhamini. Leo tangu asubuhi walikuwa ndani na jioni hii hakimu amesema hawezi kuendesha kesi kwa sababu faili lipo Mahakama Kuu. Hivyo ameaachia hadi kesho asubuhi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom