MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Matangazo ya maandamano yametuchosha bila vitendo kwa sababu mengi yanaanzia JF na kuelekea kusikojulikana
Kesho maandamano kuanza saa tatu asubuhi mbele ya kituo cha sheria na haki za binadamu kilichopo kijitonyama, nyuma ya chuo cha ustawi wa jamii. tafadhali kabla maafa ya hayajakuwa makubwa tuhudhurie bila kukosa kwa mapenzi mema ya nchi yetu
Allah awaongoze, Mungu awaongoze, Mizimu iwaongoze, Miungu iwaongoze. Uzalendo uwaongoze, upendo Uwaongoze, Budha awaongoze, Jah Awaongoze.....
Beba bango lenye ujumbe wako.
kitenda cha kutaja mizimu ituongoze umenikata siji
Bado kuna tishio la mashambulizi ya Al Shabab kwa hiyo si vizuri kufanya maandamano kwa usalama wenu
oooh! FfU sijui watatosha!!
Inaonesha huna kazi za kufanya.
Wewe si ndio ulileta habari kuwa kuna maandamano sijui watu wamekusanyika Mlimani City, yameishia wapi?
Mgomo wa madaktari utaiangusha serikali ya Huyu mpuuzi asiye na soni, anguko limekaribia
Either wewe ni mshabiki wa Simba or unachuki na CCM... Hii rangi kwangu inamaanisha Uhai na ule mmea wetu wa kujua mema na mabaya I mean canabis sativaPukudu,hiyo rangi ya maandishi yako hovyo kabisa!
Pole san a kwa kupoteza ndugu wa karibu. Kinachonisikitisha ni jinsi WATU wamavyoendelea na shuguli zao wakati hakuna huduma ya afya mara ajali au ugonjwa utakapo mpata Mtu. Du kweli akili ya kuona urefu zaidi ya pua wanayo wachache hapa nchini. Hivi wakinamama wajawazito waliokua wanapata huduma muhimbili kwa sababu maalumu sio ndio tuwachimbie makaburi kabisa?nitakwenda hapo hiyo kesho potelea mbali, liwalo na liwe nimepoteza ndugu yangu wa karibu mbwa shenzi serikali
Maandamano kuhusu nini hebu kuwa specific
Ukikwepa kufa kwa al shababu utakufa kwa kukosa tiba hospitalin kukana na mgomo wa madaktariBado kuna tishio la mashambulizi ya Al Shabab kwa hiyo si vizuri kufanya maandamano kwa usalama wenu