koo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 258
- 67
Donn kwa mtazamo wangu uliingia kwa mbwembwe sana tena kwakusudio lakutaka kuonyesha watu unajua sana hii sio sawa uliuliza kuhusu web watu wakatoa maoni wewe ukaanzisha ubishi kwakudanganya sababu za kufungiwa ulipoelimishwa ukatulia japo ulishafanya ligi kwajambo usiloelewa.
Siwezi kusema vibaya hapa msaada upo tena mkubwa pasipo majungu wewe ulipigwa majungu kwasababu uliingia hapa kutafuta umaarufu kimsingi tulia soma nyendo utajua namna yakukaa hapa wengine tumeingia hapa hatujui kitu zaidi ya kufungua thred na kuandika.
Llakini now abcs tunazo hapa hakuna mashindano wala sio sehemu yakutafutia sifa ukiwa unajua utapongezwa na kupongeza tulia.
Siwezi kusema vibaya hapa msaada upo tena mkubwa pasipo majungu wewe ulipigwa majungu kwasababu uliingia hapa kutafuta umaarufu kimsingi tulia soma nyendo utajua namna yakukaa hapa wengine tumeingia hapa hatujui kitu zaidi ya kufungua thred na kuandika.
Llakini now abcs tunazo hapa hakuna mashindano wala sio sehemu yakutafutia sifa ukiwa unajua utapongezwa na kupongeza tulia.