This ship shows the commitment of Kenya in construction of its own ports such as Lamu and, also in transportation of heavy equipments and, training local seafareres.elbarik, which Lamu port that Ethiopia refused to hav signed a pipeline deal the other day? Keep dreaming...
Damn! These Bongolalas! Nyinyi league/target yenu inafaa kuwa zaidi ya South Africa..... maana mna natural resources, madini , gesi, nchi yenye rotuba ya kulisha Africa Mashariki,kila kitu. Lakini mnalenga Kenya. You're aiming at the stars but you're looking at the sun.
By the way,mtatufikia tukiwa tumekenua meno tu ama nasi tutakuwa tukisonga????
Ndg zetu mpo mbele kiuchumi maana tulipitia kwenye ujamaaTanzania Small economy haezitoboa kupita kenya .uchumi duni sana .una mtu ananunu simu ati elfu mia nne kwani unanua gari bure kabisa tengenezeni uchumi wenu kwanza ndio muanze kufikiria kuipita kenya .baf nyinyu
hahahaha....pathetic. they cant keep it uptanzania briefly had a bigger economy than kenya in the 1980s
LOL! The economy of Tz in the 80s was practically.....dead. A sad fact that caused Nyerere to resign, admitting failure on his part.tanzania briefly had a bigger economy than kenya in the 1980s
Kwani ni nani anarudi nyuma kila mmoja anapaa kuende mbeleNdg zetu mpo mbele kiuchumi maana tulipitia kwenye ujamaa
na Mwl wetu JK Nyerere, aliyetuletea umoja undugu na mshikamano mnaouona kwa sasa!!
Baada ya uhuru hakukimbilia kuiba na kudhurumu mali za Watanzania!!
Matokeo yake ndio tinatokeza kwa mbinu mpya nzuri ya maendeleo sio wizi na kusifia maendeleo ya wachache wakati umati ukitopea kwenye lindi la umasikini!!
Mwelekeo wa uchumi wa TZd ni mzuri kunufaisha taifa zima,
tunapaa kwenda mbele na haturudi nyuma!!
ata kenya ilikua na bigger economy 1980s 1ksh ilikua unanunua shamba we unaongelea nini hapa .tanzania briefly had a bigger economy than kenya in the 1980s
Mmnh, I see. By when do you project this dream to happen.Muda unakaribia wa Tanzania yetu kuwa the largest economy in the region kuchukuwa nafasi ambayo sasa hivi inashikiliwa na nchi ya Kenya tangu Ukoloni!
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kuipita nchi ya Kenya kiuchumi na sasa kujitayarisha kuwa the largest economy in Afrika kila kitu tunacho, tulikuwa tunakosa Rasilimali watu, Uongozi bora na thabiti tu!
Sasa Rasilimali watu inakuja, tunawaandaa sasa vijana wa Kitanzania to take on the World, hivi sasa University hakuna kila Admission University kama hauna high grades, kwa maana hiyo we take only best students!
Utaona kila nchi ya Kenya wanapotoa mguu sisi tunakanyaga tena kwa mguu mkubwa zaidi, wamejenga SGR mwisho 120km/saa sisi tunajenga zaidi ya kilometa 2000 na uwezo wa kwenda mpaka 140 km/saa, kila Kiwanda kilichoko Kenya sasa kimerudiwa hapa Bongo na kwa ubora zaidi hata Maua industry ambayo ilikuwa nonexistent miaka 10 iliyopita hapa TZ kwetu leo hii Arusha inafanya vizuri na uwezekano wa kufanya vizuri zaidi upo baada ya nchi ya Kenya kutakiwa kulipia kodi kwa export ya maua huko Ulaya mpaka karibia 20% wkt sisi ni tax free hili tukijipanga vizuri linaweza kuleta Wakulima wa maua Kenya ktk kuja kuwekeza Arusha yetu!
Kenya Airways inaumwa na iko hoi ina madeni mpaka utosini sisi tunaanza kufufua Air Tanzania yetu!
Ikumbukwe Kenya inatumia pia fedha nyingi kuwekeza kwenye military hivyo kunyima sehemu nyingine fedha na hiyo ni sumu kwa ukuaji wa uchumi lkn ni lazima wafanye hivyo kwa sababu ya wanapigana proxy war kwa ajili ya Israeli na USA!
Hivyo habari ndiyo sasa hivi ni bumper to bumper mpaka tuwakute na kuwapita and it will happen sooner than youmight think!
yeah at one time kenya ilikopesha South Korea 1milliin dollars (ama ilikua msaada?)... kwasababu walikua maskini, sasa comparing the two is a big joke, sasa they are the ones building 100million dollar university as investors in our country to tranfwr us their technology while we still have a problem collecting and disposing garbage
October 2016 came and passed, and in Dec 2017, Ethiopia decided to cancel the whole pipeline project because their SGR was under threat of missing out crusial business....elbarik, while u r yapping in here in October this year will construction of oil pipeline from Port Djibouti to Addis Ababa start while the railway btn the two cities will b operating. BTW ur naive thinking of the whole over $10 bln Bagamoyo project won't have a capacity to handle post Panamaric vessel is a sign of despair n desperation!
FYI serious EPZ zones, ring roads+rails r being build to Mbegani in preparation for the project to kickstart