Ruto amewaambia wafunge mikanda zaidi.😁Kila siku inazidi kushuka thamani sasa ni kenya tsh 1 sawa na tsh 16.51 wakati zamani ilifika mpaka 22
Ni hujuma kwa Ruto
Ama wakenya wamerudia tabia yao ya asili ya uvivu
Kuachana na US dollar na kufanya biashara kwa local currenci