Kazi za Kiongozi Mkuu wa ACT-Tanzania

Wana Jf nipingependa kujuwa yafwatayo kutoka kwa Makada wa ACT hasa mwasisi Mh Zitto!...

Awaji ya yote nijuwavyo mimi lengo kuu la chama cha upinzani ni kushika dola, hivyo kwa mantiki hiyo ni kupambana na chama tawala chenye dola. lakini napata kizungumkuti kwa wenzangu Act. hivyo namaswali kadhaa ningependa nijibiwe nao...

1. Kwanini ACT wana pambana na CHADEMA tu, licha ya kufahamu fika kwamba chadema hawajashila dola!? kwanini sio CCM wenye dola?..
Mfano kwenye mitangao mingi ya kijamii hasa JF, wafuasi wengi wa ACT wanapambana na CHADEMA' kuanzia thread mpaka comments zao.


2.Kwanini ACT wanaungwa mkono na Makada wa CCM? hasa kwenye mitangao na kwenye hovyo vya habari vya ccm?

3. Kwanini Wanao lelewa kiuchumi na kisiasa na Mh Zitto wamekuwa waki watusi Viongozi walio mlea Bwana Zitto kisiasa, na yeye kuwa nyamazia bila kuwakanya?
Mfano Bwana Habibu Mchange, toka akiwa Chuo kikuu cha dodoma kabla aja acha chuo, amekuwa akifadhiliwa na Mh Zitto mpaka sasa, na ndie amekuwa akifanya press conference mara kwa mara kuwatusi walezi wa Zitto kisiasa!.

4. kwanini ACT imejikita kutafuta wanachama toka Chadema na sio Cuf, Tlp, Nccr au Ccm?.

5. Hili swali hata lisipo jipiwa ni sawatu maana ni maneno ya mitaan, je ni kweli ACT imeanziswa kupambana na Chadema, ni kweli ACT itaingia kwenye Uchaguzi mkuu ili kupunguza kura za wapizani?.



Kama ACT imejipambanuwa kudeal na CHADEMA na sio CCM. Je lengo lake nini? je chadema ikipotea kwenye ramani ya Dunia watanzania watanufaika kwa kipi?...au ACT itakuwa imemfanyia nini mwanachi wa tanzania?
 
Kwa mujibu wa Katiba ya ACT ZZK atakuwa na madaraka yafuatato

"Kazi za Kiongozi Mkuu wa ACT-Tanzania

i) Atakuwa kiongozi mkuu wa chama kwenye mikutano mikuu ya chama Taifa, mkutano mkuu, Halmashauri Kuu na Kamati Kuu.

ii) Atakuwa mkuu wa siasa, mshauri na mwelekezaji kwa viongozi wote na maafisa wa ACT-Tanzania

iii) Kuteua wajumbe watano wa Kamati Kuu kwa mujibu wa Katiba hii

iv) Atakuwa ndiye mtoa tamko rasmi kuhusu masuala ya sera na mtazamo wa chama

v) Atakuwa mtoa habari mahususi kwenye mkutano mkuu, Halmashauri Kuu na Kamati Kuu kuhusu hali ya kisiasa nchini na masuala mengine ya kitaifa na kimataifa.

vi) Atasimamia, kufunza na kutoa maelekezo kuhusu shughuli zote za ACT-Tanzania

vii) Iwapo kiongozi wa ACT-Tanzania hayupo kwa sababu yoyote ile basi Mwenyekiti wa chama Taifa atakuwa Kaimu kiongozi mkuu wa Chama.

viii) Iwapo kiti cha kiongozi mkuu wa Chama kitakuwa wazi kwa sababu ya kujiuzulu, kuondoka katika Chama, kuvuliwa uongozi au uanachama, maradhi yenye kuondoa uwezo wa kufanya kazi au kifo, utaratibu ulioelezwa katika

(vi) ya ibara ndogo hii utatumika kwa sharti kwamba Mkutano Mkuu Maalumu wa Taifa utaitishwa katika muda usiozidi miezi sita tangu kuwa wazi kwa kiti hicho kwa ajili ya kuchagua Kiongozi Mkuu wa Chama mwingine.

ix) Ataweza kuondolewa kwenye madaraka baada ya mapendekezo ya Halmashauri Kuu ya Taifa kwa azimio la Mkutano Mkuu wa Taifa
litakaloungwa mkono na theluthi mbili ya kura za wajumbe halali waliohudhuria na kupiga kura.

x) Atakuwa ni nuru na taswira ya ACT-Tanzania"

Kwa mamlaka na madaraka haya walahi anaweza hata kuwatandika viboko wafuasi wake
 
Tafsiri rahisi hapa ni kuwa hiki chama
ni mali yake na yeye ndio muasisi na mfadhili mkubw wa chama hiki.

Walichofanya ACT ni kuweka ubunifu kidogo, maana vyama vyote haiwezekani vile na structure moja.Hii ni dalili ya kukosa fikra.

Unaweza ukaona baadhi ya vyama vya wenzetu pia.

raila_odinga.jpg


Raila Amolo Odinga is the party leader.
The party leader is the overall steward of ODM.

1) The Party Leader shall:

i) Provide leadership and vision to the Party.

ii) Promote national cohesion and wholesome integration of all Partymembers in national development.

iii) Articulate Party‟s aspirations and charter a clear course or strategyfor the achievement of such aspiration or implementation of Party‟sobjects.

iv) Champion the Party‟s campaign to form the next Government.

v) Imbue Party members with charisma and lead the membership tonewer heights of loyalty and patriotism to Party ideals, values andobjectives.

vi) Lead the Party at political negotiations to form a working coalitionwith any other Party or Parties with the sole purpose of forming theGovernment as may be desirable in the circumstance.

16vii) Provide wise counsel and judicious directives to National Officialsspecifically or to Party members in general on any matter in disputeor under controversy within any Party organ or amongst Partymembers.


ECONOMIC FREDOM FIGHTERS-SOUTH AFRICA

julius_malema_eff_condemns_anti_gay_homosexuality_bill.jpg

JULIUS MALEMA-AMIRI JESHI MKUU


The President and Commander in Chief of the Economic Freedom Fighters, who shall:

i. Be the political head and commander in chief of EFF and the leader of the house at National People's Assembly meetings;

ii. Make pronouncements for and on behalf of the EFF outlining and explaining the policy or attitude of the EFF on any question;

iii. Present to the National People's Assembly a comprehensive statement of the state of the country, continent and the political situation internationally;

iv. Under the overall supervision of the CCT, orient and direct the activities of the EFF.
 
Hahahaha kwi kwi kwi kwi eti nuru ya ACT nimecheka balaaa, jamani hii katiba hivi imetoa hata tafsiri hata ya neno nuru? Kweli nimeamini katiba imeundwa jana usiku na imepitishwa leo.
 
Kabisa Mkuu. Yaani ni Ayatollah Khomeini wa act. Majanga. Nilitaka nishangae asigombee wakati chama ni chake kama Cheyo!

Ni kama Chadema kuna Ayyatollah Mtei , na MFALME MBOWE, Chadema ni mali binafisi ya Mtei, Mtei ndio mmiliki wa Chadema
 
Back
Top Bottom