Fpam
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 290
- 115
Kijana mwenzangu nadhani tupo same age,
lakini mwenzako sina hata wasiwasi,
kinchohitajika hapa ni kutulia wanawake wakishakujua ama sikia upo kwenye presure ya kuoa watafanya usanii hadi uwaone wife material tena ndo wakishajua future ipo wapo tayari hata kutembelea magoti waonekane wema hao,
mwenzako nafikiria kumrudia yule niliyembikiri coz yy alinipenda nikiwa sina kazi na nilikuwa nimechoka mbaya, nakumbuka niliwahi kumtumia credit 1000 akaniambia yy hakunipendea hilo japo nilipopata kazi nikamsaliti tukaachana
lakini mwenzako sina hata wasiwasi,
kinchohitajika hapa ni kutulia wanawake wakishakujua ama sikia upo kwenye presure ya kuoa watafanya usanii hadi uwaone wife material tena ndo wakishajua future ipo wapo tayari hata kutembelea magoti waonekane wema hao,
mwenzako nafikiria kumrudia yule niliyembikiri coz yy alinipenda nikiwa sina kazi na nilikuwa nimechoka mbaya, nakumbuka niliwahi kumtumia credit 1000 akaniambia yy hakunipendea hilo japo nilipopata kazi nikamsaliti tukaachana