Bint mkwel
Member
- Oct 27, 2015
- 12
- 2
habari waungwana
naomba msaada kwa kwenye shirika au ofisi yoyote yenye uhitaji wa muhasibu anisaidie nipate kazi au nijitolee, Nimemaliza diploma ya uhasibu mwaka huu 2016 TIA dar . plz PM or email yangu mchapakazisana@gmail.com.
naomba msaada kwa kwenye shirika au ofisi yoyote yenye uhitaji wa muhasibu anisaidie nipate kazi au nijitolee, Nimemaliza diploma ya uhasibu mwaka huu 2016 TIA dar . plz PM or email yangu mchapakazisana@gmail.com.