Kazi ya uhasibu

habari waungwana

naomba msaada kwa kwenye shirika au ofisi yoyote yenye uhitaji wa muhasibu anisaidie nipate kazi au nijitolee, Nimemaliza diploma ya uhasibu mwaka huu 2016 TIA dar . plz PM or email yangu mchapakazisana@gmail.com.
Hiyo address ya e mail tu umeshakosa kazi...
Ushauri next time ukiandika post kama hii elezea competence yako mfano
You are good in preparing all govt statutory returns eg PAYE,VAT,WHT etc
Expertise in Accounting Software and you name it eg Tally,Quickbook etc
Na mengineyo na ni vyema ukaweka a real e mail address yenye jina lako halisi na uka attach na CV
Karibu
 
Diploma ni karani sio mhasibu.
Soma vyeo vya wahasibu na elimu hitajika kwenye website ya NBAA
 
Hiyo address ya e mail tu umeshakosa kazi...
Ushauri next time ukiandika post kama hii elezea competence yako mfano
You are good in preparing all govt statutory returns eg PAYE,VAT,WHT etc
Expertise in Accounting Software and you name it eg Tally,Quickbook etc
Na mengineyo na ni vyema ukaweka a real e mail address yenye jina lako halisi na uka attach na CV
Karibu
Nakubaliana na wewe
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom