Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 4,903
- 15,998
Habar ya jioni wadau. Kindly fall through ๐๐๐๐
Anahitajika:
Kijana mwenye taaluma ya uhasibu kwa ajili ya kufanya kazi.
Sifa:
- Atleast awe na background ya kufanya kazi za kihasibu na na uelewa na uzoefu wa kutosha katika masuala yanayohusiana na Reconsiliation linapokuja suala mamlaka ya mapata TRA
- awe conversant kuhusu matumizi ya ICT na information system katika utunzaji wa data
Kazi husika.
- Anahijika kufanya kazinkama muhasibu shuleni (school bursar) ingawa atahusika na majukumu mengine kulingana na upana wa kazi.
DAR ES SALAAM
NB maelezo mengine yatatolewa baada ya shortlisting..
Please kama uko interested send your CV through
socialforumn@gmail.com
Ahsante
Anahitajika:
Kijana mwenye taaluma ya uhasibu kwa ajili ya kufanya kazi.
Sifa:
- Kijana wa kiume, kulingana na mazingira ya kazi na uwajibikaji husika.
- Elimu kuanzia ngazi ya Diploma
- Atleast awe na background ya kufanya kazi za kihasibu na na uelewa na uzoefu wa kutosha katika masuala yanayohusiana na Reconsiliation linapokuja suala mamlaka ya mapata TRA
- awe conversant kuhusu matumizi ya ICT na information system katika utunzaji wa data
Kazi husika.
- Anahijika kufanya kazinkama muhasibu shuleni (school bursar) ingawa atahusika na majukumu mengine kulingana na upana wa kazi.
DAR ES SALAAM
NB maelezo mengine yatatolewa baada ya shortlisting..
Please kama uko interested send your CV through
socialforumn@gmail.com
Ahsante