Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
- Thread starter
- #61
WEWE kijana.. hujasalimika bado coz watu walio apply kama second choice nao watakuwa considered.. ni ivi kama mtu aliye apply 2nd choice hakuweza ku withstand competition.. atashushwa kwenye hiyo course yako ashindane na nyie mlioapply kama 1st choice... hivyo hivyo na kuendelea mpaka watu wote wapate course zao kwa vugezo sawa ambavyo ni SURVIVAL FOR THE FITTEST...
mkuu,mim nilikua nadhan kama kozi inahitaji watu let say 100,na walio omba kama 1st choice ni 100,mimi nadhani hapo hapatakua tena competition kwa sababu watachukuliwa hao 100 walio weka kozi huska kama 1st choice na mchezo unaishia hapo!