Baada ya uchaguzi ni baraza la mawaziri
Moja ya vitu vitakavyopewa kipaumbele katika kumchagua waziri ni uzito wa kitu alichofanya mtu ktk ku-support rais katika kampeni. na wala si uwezo wa mtu katika kuyakabili mambo magumu. Huenda Kawambwa akawa anaangalia mbali zaidi, Who knows.
Lakini katika proffessional point of view, Dr. Kawambwa hakuitendea haki Eng. Proffesssion.
Kawambwa kasoma lakini hajaelimika, dawa yake ni kumpiga chini na huyo wa kwenye picha. Dalili hizi ni kwamba hajafanya lolote kuleta maisha bora kwa waliomchagua. Kama angekuwa amewaletea maendeleo asinge piga goti, bali angesimama kama shujaa kwa watu wake! Msimuangalie usoni, mpigeni chini arudi akafudishe chuo:mad2:.
Usibadili maana wewe! Obama hapo anaonyesha heshima kwa kiongozi mkubwa kwake kiumri! African culture.
Dr Kawambwa anapigia picha magoti, ili apate huruma za wapiga kura. Kuna tofauti kubwa sana hapo, nadhani ni vizuri next time akili zako changanya na logic inayokuwepo!
Rev Mas
i am an engineer myself, and Dr. kawamba happen to be my lecture those days when he was still at UDSM, this is outrageous, what is he doing? i can not believe my eyes! can someone take this pic to udsm notice board? ama kweli siasa inalipa, people would do anything!
Is he the one referred as mchungaji? :confused2:Tanzania bila wehu inawezekana ! Usipoteze muda wako kwa mgombea mgonjwa ataanguka
Huyu Dr Kawambwa anaPhD ni msomi mzuri kabisa, anaweza kuishi bila kunyenyekea na kujidhalilisha kiasi hiki! Amepigia magoti picha duu kazi hizi sintoweza zifanya!
Huyu dada naye nashindwa kumwelewa kama ni mzima kweli
Huyu Dr Kawambwa anaPhD ni msomi mzuri kabisa, anaweza kuishi bila kunyenyekea na kujidhalilisha kiasi hiki! Amepigia magoti picha duu kazi hizi sintoweza zifanya!
Huyu dada naye nashindwa kumwelewa kama ni mzima kweli
Asipopigia picha ya JK goti hatapata uwaziri :becky::becky::becky:
INASIKITISHA SHA MTU MZIMA NA ELIMU YAKO YOTE UMESOMA KWA SHIDA LEO HII UNAKIJA KIJIDHALILISHA KUPIGA GOTI KWENYE PICHA LOL ! UNGEKUWA HUJASOMA TUNGESEMA HUNA ELIMU HUJUI MAANA BUT UMESOMA SHAME ON U KAWAMBWA
Kuachilia ushabiki wa siasa, na kuuweka pembeni, hii picha haisemi moja kwa moja kama anaipigia magoti. Inaelekea yuko mkutanoni akimwaga sera zake, nakubaliana na aliyeandika mwanzo inaonekana ameiegamia kama kutafuta sapoti na sio kuitumia kuombea kura- masuala ya phd yake na kupiga magoti naona yameenda mbali sana.