Usiichukie siasa maamna siasa ndio inayoamua hatima yetu,tukiiendesha vizuri poa na tukiichukulia kama Kawambwa na huyo mdada basi kwisha kazi.
Alichofanya Kawambwa ni utumwa kwa kwenda mbele,hawa ndiyo sawa na wale waliobadilishana gold na gololi
Shukuru Jumanne Kawambwa
Elimu
Surrey University - UK PhD (Eng.) 1990 1993 PHD
Reading University - UK MSc. (Eng.) 1983 1984 MASTERS DEGREE
University of Dar es Salaam BSc. (Eng.) 1978 1982 GRADUATE
Jamaa kabla hajaingia kwenye siasa alikuwa Senior Lecturer pale School of Engineering! tokea 2000
Leo anapigia magoti picha kweli Engineer mzima! Elimu na exposure havijamsaidia kabisa kabisa! To me this is a mental case
Kaka ni mfumo mbovu wa Tanzania unadhani atakaaa saa ngapi aandike kitabu wakati hana kitu cha kula?
Ndio maana namshangaa sana Kikwete anaposema maprofessa hawaandiki vitabu kwani hajui sababu za wao kushindwa kuandika vitabu. maprofessa wengi kuhamia katika siasa kwasababu ya shida mshahara kiduchu, pesa za kufanyia research hakuna.
Kwenye makampuni wapo overqualified unadhani wataenda wapi kama sio katika siasa?
Broda! Kuliko kudhalilisha professional kivile ni lazima sana ufanye kazi Tanzania? Unajua ukiisha kuwa na career nzuri kama ya Kawambwa wewe ni Citizen of the world! Unarusha tu CV unapata kazi popote duniani bila kupigia magoti picha! Nimesikitika sana na msomi huyu
Broda! Kuliko kudhalilisha professional kivile ni lazima sana ufanye kazi Tanzania? Unajua ukiisha kuwa na career nzuri kama ya Kawambwa wewe ni Citizen of the world! Unarusha tu CV unapata kazi popote duniani bila kupigia magoti picha! Nimesikitika sana na msomi huyu
Huyu dada naye nashindwa kumwelewa kama ni mzima kweli