Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 804
Ndugu zangu wanasheria nisaidieni ktk hili. Kuna Binti aliniahidi kuwa mke wangu, kwamba tutaoana. Ktk kipindi cha miaka minne nimekuwa nae km mchumba leo ananijia na kunikana, kumbuka kanipotezea muda wangu, alinipa ahadi feki ilioshindwa kutimizwa. Nishaurini nifanyaje ndugu zangu wataalamu wa sheria!