Mh Selasini amesema aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Tarime, Marehemu Chacha Zakayo Wangwe ALIULIWA. Kauli ya Mbunge Selasini imeanzisha mjadala wa mwaka 2008, na sasa watu wameanza kuhoji utata wa kifo cha Marehemu Wangwe.
Itakumbukwa kuwa Wangwe alipoteza maisha kwa kile kilichoripotiwa kuwa ni ajari ya gari wiki kadhaa baada ya kuandamwa na kuvuliwa nyadhifa zake za uongozi ndani ya Chadema kwa kile alichokieleza kuwa ni kuhoji mapato na matumizi mabaya ya fedha za ruzuku, ukanda na ubaguzi, na baada ya yeye kuonyesha nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
Ni wakati wa kujinasua katika hili kwa Chadema kuomba uchunguzi huru na wa haki wa kifo cha Chacha Wangwe
Itakumbukwa kuwa Wangwe alipoteza maisha kwa kile kilichoripotiwa kuwa ni ajari ya gari wiki kadhaa baada ya kuandamwa na kuvuliwa nyadhifa zake za uongozi ndani ya Chadema kwa kile alichokieleza kuwa ni kuhoji mapato na matumizi mabaya ya fedha za ruzuku, ukanda na ubaguzi, na baada ya yeye kuonyesha nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
Ni wakati wa kujinasua katika hili kwa Chadema kuomba uchunguzi huru na wa haki wa kifo cha Chacha Wangwe