Kauli ya First Lady wa Dk. Slaa, Josephine

Kuna kitu Tundu Lissu amesahau. Mwaka 2005 CCM walimwandama Prof. Lipumba kwa kumchukua Mama Mmoja anaitwa Georgina Mtenga, mke wa Bwana Kweka! Ni diversionary tactic na wanatumia magazeti nyuma ya Pazia. Ila naona watu wengi wamepuuzia. Kwetu Afrika sio kama Ulaya ambako mambo kama haya ni issue kubwa sana! Ila nadhani Chadema wanasubiri kurusha makombora dakika za majeruhi maana wakianza sasa hivi watachoka mno maana bado kuna muda mwingi wa kampeni.
 
Hakuna mtu anayetaka kunyanyapaa au kunyanyapaliwa lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa hatuoni aibu kulisema hilo. If you want to save 100 prey shoot one the rest will be free.
 
Sikumbuki ni kipengele gani katika katiba ila kuna baadhi ya magonjwa ambaya yanamzuia mtu kufanya/kuajiriwa kufanya kazi fulani. Kwa mfano mgonjwa wa kifafa huwezi kumwajiri jeshini! NAfikiri hata rais mwanye kifafa hafai pia!!
Au kama ana ukimwi pia ana hatari ya kupoteza maisha yake kabla ya muhula wake kuisha, matatizo yanayoweza kutokea ni makubwa zaidi!

Sawa kabisa mkuu, lakini kuwa na VVU siyo ugonjwa!
 
"[FONT=ArialMT, sans-serif]Hatutaki hata kuzungumzia ‘status' ya ukimwi kwa baadhi ya wagombea, ana wake wangapi, ana vimada wangapi...nani anakwenda nje kubadilisha damu kila miezi sita, hatutazungumzia siasa za chumbani kama wanavyotaka tufanye, kwa sababu hayatatatua matatizo tuliyonayo," alisema.[/FONT]

haya ni maneno mabaya sana kuyazungumza,kwanza status ya afya ya mtu ni confidential,na ni breach kubwa ya medical ethics kuzungumzia afya ya mtu bila idhini yake wala ya wanafamilia wake, unaweza kushtakiwa na kutiwa hatiani wewe na huyo mtaalamu wa afya aliekupa taarifa nawe kuzitoa nje,so tuzungumze kwa lugha isiyo na jazba wala kukiuka mipaka.

pili kuwa na virusi vya ukimwi au ukimwi si tatizo tena katika ulimwengu tulionao leo, ni wale wajinga wa medical profession ndo wanaoweza kuzungumza kuwa ukimwi unaua. kwa maendeleo ya sayansi ya tiba yaliyofikiwa hivi sasa,ukimwi si tatizo tena la kutisha rather imekuwa ni chronic disease just like hypertension,diabetes mellitus, cancer etc. kusema "fulani ana virusi huyo" hiyo ni unyanyapaa mkubwa. so mtu mwenye virusi vya ukimwi au mwenye ukimwi ana haki sawa na fursa sawa katika kushiriki shughuli zote ziwe za kijamii,kisiasa,michezo na mengineyo kwani ukimwi upo manageable na wapo wengi tu wenye ukimwi au virusi vya ukimwi lakini wanaafya na siha njema pengine kuliko wewe au mimi tuliopo kwenye kompyuta. kuna mengi sana unaweza kuongea mtu lakini haina faida bali namaliza na ujumbe wangu hapa chini

binafsi naamini hatumchagui mtu kwa mambo yake binafsi sisi tutamchagua mtu ikiwa tu anaonyesha dhamira ya kweli ya kuwasaidia watanzania wote bila ubaguzi wa aina yoyote,tutamchagua mtu kwa busara yake na uwezo wake wa kutunganisha watanzania wote kama ndugu na pia kusimamia rasilimali za taifa zitumike ipasavyo na keki ya taifa igawiwe ipasavyo



 
Tatizo Chadema wamejeruhiwa pabaya na mambo yeshakuwa makubwa ,hapa ipite huruma tu mahakama iamuriwe kutupiliaa mbali shitaka hilo ,yaani ccm wapite nyuma ya pazia na bila ya shaka itakuwa ni blackmail

Kwani mahakama mbona ni za CCM. Acha hizo aliyeshikwa pabaya ni CCM siyo Chadema. CCM iwaeleze wananchi kuhusu Maisha Bora walioahidiwa.
 
Ujinga!! Nani kasema kujulikana na wapiga kura wangu kwamba nina ukimwi ni ujinga? kwenda zako na roho yako mpaya! mtakufa hivyo hivyo na ujinga wenu... mkiamini mimi sina ukimwi..kwanza computer yako pentium one..

Janami msinimindi sana nimejaribu tu kuedit katangazo kamoja ka fataki..:confused2:

Easy easy...
 
Status ya Mtu ya UKIMWI ni siri yake anaweza akaweka peupe au laah kutegemea na yeye anavyotaka na hii iko kwenye sheria zetu na mikataba ya kimataifa,kwa hiyo haitakuwa busara kwa CHADEMa kutoa siri hiyo kama mteja mwenyewe hataki lakini vizuri wameufahamisha umma kwamba nchii hakuna siri kwa hiyo vipimo vya hawo viongozi vimevujishwa na usalama wa taifa au vipi
 
Josephine kesha sema ni kweli alikuwa ameolewa na hawajawasiliana na mmewe kwa miaka mitatu. Saafi sana jose kwa ukweli na uwazi. Sasa mafisadi waliokwapua pesa zetu katika account ya EPA nao watakubali kujitokeza hadharani na kusema ni kweli tuliziiba na tumezirejesha? Na yule aliyezipokea akiri kuwa ni kweli nimepokea kiasi fulani kutoka kwa mwizi fulani na zipo account NO fulani? Ama wataendelea na jitihada zao za kufadhili siasa za maji taka wakifikiri watanzania wa sasa ni limbukeni wa kudanganyiwa peremende kwenye lulu yao?
SAA IMEFIKA AMBAPO KILA ANAEJIJUA NI FISADI ASAHAU KABISA KURA ZA WANANCHI.

Hajawasiliana na mumewe miaka mitatu? Mwanawe wa mwisho kazaliwa mei 2007, ina maana hakuwa kwa mumewe?

Huyu mama atamwingiza Dr. Slaa kwenye matatizo kama hayuko makini.
 
Sawa kabisa mkuu, lakini kuwa na VVU siyo ugonjwa!


avatar14398_1.gif
ASPRIN UKO HUKU SIKU HIZI?
 
Binti Zion
Ndio maana siasa za maisha binafsi zinatakiwa kukemewa kwa nguvu zote maana zina madhara sana. Na madhara yanakwenda si kwa wanaorushiana maneno bali kwa watu wao wa karibu hasa familia. Hili suala la "umechukua mke wa mtu" basi na "wewe una VVU" ni mambo binafsi, ila kwa kuwa mambo ni mwaga ugali, nami nimwage mboga siasa zinasonga ndo tumefika hapa


Nakubaliana na Binti Zion na pia Mpambalyoto kwa 100%.
Tunahitaji sera za vyama,si nani alifanya nini na nani ana nini.
Tuna mambo mengi ya kufanya na kujadili kwa ajili ya ustawi wetu binafsi na ustawi wa jamii nzima.
 
tatizo anaanguka kila wakati........lazima kiongozi wa nchi awe imara kiakili na kiafya ndiyo sehemu zingine viongozi wakubwa wameamua kukaa pembeni na kuendelea na matibabu badala ya kulazimisha.....":TULIISHA ONYWA KUWAOGOPA WANAOKIMBILIA IKULU",,,,,....."SASA TUENDELEE KUWAOGOPA WANAOKATALIA IKULU WAKATI HAWANA UWEZO WAKATI AFYA ZAO HAZIKO IMARA"...................
Sasa huo utakuwa ni unyanyapaa kwa waathirika.kwani mgonjwa wa ukimwi haruhusiwi kuwa kiongozi? si anaishi kwa matumaini?Acheni hizo bwana.
 
Hajawasiliana na mumewe miaka mitatu? Mwanawe wa mwisho kazaliwa mei 2007, ina maana hakuwa kwa mumewe?

Huyu mama atamwingiza Dr. Slaa kwenye matatizo kama hayuko makini.

Sasa nini cha ajabu? Hivi mtoto akizaliwa 2007 maana yake Mimba ilitungwa 2007 hiyo au?
 
tuwekeeni hao watu tuanze kuwachana live kwa niaba ya dr.slaa..........watu tuna asira sana na akina makamba ,kikwete,lowasa,rostamu wanaofadhiri uchafu huu dhidi ya dr.slaa
 
kwani kila mwanamke uliye naye si obvious alikua na mtu before!

hapana si kweli, una maana hamna wa kwanza? aliyekuwa wa kwanza kujiweka kwa mwanamke anaweza kupingana na huu esemi wako, lakini wanawake wengi wa siku hizi wenye age juu ya 26 wengi wao utawakuta walishakuwa na mtu before, unless azawise umuumbe mwenyewe.
 
Mtaibua na kubukua sheria zote ,ila kwa hili mkuu hatoki ,labda wamuonee huruma ,jingine ni aibu kwa kiongozi wa Chama kubaka wanawake tena wanaoonyesha kuwepo kwa undoa ,yaani haiingii akilini kabisa ,kwa mheshimiwa kama Slaa kuvaa mwananmke ambae data zake zina utata ,na sasa ndio analipa price.

Pia haiingii akili kabisaaaa kwa kiongozi kama Makamba kubaka na kufukuzwa ualimu mkuu kisha akaweza kuendelea na majukumu ya kitaifa..
hivi kwa akili zako kipi bora kubaka Mwanafunzi au kuchukua mwanamke aliyekubali kwa hiari yake?
 
Mimi nina wasi wasi na huyu Josephine, hajatumwa kweli na CCM kumwangamiza Dr. Slaa maana jibu lake nimeona limekuwa rahisi mno. Eti 'kutokuonana na mumewe kwa miaka mitatu basi ndio kibari cha yeye kuolewa" huyu dada sidhani kama kweli, hayo ni maoni yangu tu na si ya mtu mwingine, maana huyo mumewe anadai mpaka march mwaka huu walikuwa pamoja na ndipo alipoanza kuonesha hali ya kutokuwa mwaminifu. Hivyo kama kutoonana ni kuanzia april mwaka huu.
Dr. Slaa akipata pingamizi lolote kwa kugombea urais wa kubebeshwa lawama ni hawa wawili ndugu zangu watanzania, Josephine na huyu anayejiita mumewe.

Mimi namtetea Josephine

Kwa kuwa CCM hawakuanza leo visa vya aina hii.

Kwa upande wa sheria, nikianzia na kwenye Uislam, mwanaume uliyeoa kwa kufuata misingi ya Uislam, usipomwingilia mke wako kwa muda wa siku 30, inahesabika kwamba tayari umeshamuacha mkeo huyo na unapaswa kufuata taratibu zote a kisheria kumuoa upya, ikiwa ni pamoja na kupeleka posa nyumbani kwake na kutuma mshenga.

Josephine amesema aliondoka kwa mumewe miaka tatu iliyopita, na mumewe huyo hakufanya lolote muda wote huo. Sielewi mambo yakoje kwa Wakristo. Lakini Josephine ana haki zote za kudai talaka kwa mumewe huyo. Hakuona kwamba kulikuwa na umuhimu huo. Mahimbo hana uhalali wa kisheria, na kesi itatupwa nje.
 
Ushauri kwa Dr Slaa; ili kuongeza attention ya hili swala;

Dr na Mama Josephine; waende publically kupima, wayaonyeshe majibu yao kwa waandishi wa habari na kuwaomba wagombea wote kufanya hivyo; kama njia ya kuhakikisha tuna kiongozi salama; najua watapinga lakini hatutaki kiongozi ambaye maisha yake hayaeleweki; so najua hili l inaweza kufanyiwa kazi; na hii naamini itageuza kashfa ile ya kutunga imgeukie mkubwa wetu yuleeeeeeeeee; lazima chali chakachua ya maneno mwakaa huu haina nafasi

Kuna uchunguzi umefanywa na JK anao inasemekana; Slaa kijijini anatambulika sana kuliko mgombea yeyote;
 
Ushauri kwa Dr Slaa; ili kuongeza attention ya hili swala;

Dr na Mama Josephine; waende publically kupima, wayaonyeshe majibu yao kwa waandishi wa habari na kuwaomba wagombea wote kufanya hivyo; kama njia ya kuhakikisha tuna kiongozi salama; najua CCM watapinga lakini hatutaki kiongozi ambaye maisha yake hayaeleweki; so najua hili l inaweza kufanyiwa kazi; na hii naamini itageuza kashfa ile ya kutunga imgeukie mkubwa wetu yuleeeeeeeeee; lazima chali chakachua ya maneno mwakaa huu haina nafasi

Kuna uchunguzi umefanywa na JK anao inasemekana; Slaa kijijini anatambulika sana kuliko mgombea yeyote;
 
Sasa huo utakuwa ni unyanyapaa kwa waathirika.kwani mgonjwa wa ukimwi haruhusiwi kuwa kiongozi? si anaishi kwa matumaini?Acheni hizo bwana.
Hatutaki rais anayeishi kwa matumaini, soma habari hii ya kusikitisha

HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE NA ZA KUTHIBITIKA KABISA, ZINARIPOTI KWAMBA MKURUGENZI MSAIDIZI WA BENDI YA DANSI YA DIAMOND MUSICA PERFECT KASIGA 'P DIDY'(PICHANI) AMEFARIKI DUNIA.
S7301793.JPG

P DIDY AMBAYE ALIKUWA MCHUMBA WA MTANGAZAJI MAARUFU WA TBC1 MAIMATHA JESSE AMEPATWA NA MAUTI HAYO LEO HII WAKATI AKIWA KATIKA MATEMBEZI YAKE YA KILA SIKU BAADA YA KUANGUKA GHAFULA KATIKA BARABARA YA LUMUMBA,MNAZI MMOJA JIJINI DARES SALAAM-(MICHUZI)
BAADA YA KUANGUKA GHAFULA hiki ndicho sitaki kiongozi wangu wa juu kimpate akiwa madarakani.
 
Back
Top Bottom