kaburunye
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 672
- 74
CCM wakiishiwa hoja juu yako wanaweza hata kukuzushia kuwa uliua mbwa wa jirani yako hivyo hufai kuwa rais. Sisi hatutafuti rais asiye na dhambi, tunataka rais anayeweza kusimamia rasilimali zetu kwa uchungu zisiporwe na mafisadi bali zitumike kwa manufaa yetu wote. JK has proved a failure on this and it is only Dr Slaa who qualifies for the job.