Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,078
- 2,443
Waacheni WAFU wazike WAFU wenzao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zion, nakuunga mkono kwa asilimia 100,kwa sababu ukimwi siyo ugonjwa bali ni upungufu wa kinga mwilini ambapo mwathirika anaweza akaishi zaidi ya miaka 20 huku akiendelea kufanya shughuri zake kama kawaida iwapo atazingatia masharti ya matumizi ya dawa za kuongeza kinga mwilini. Je? tumewaona watanzania wangapi wanafanya kazi na wanatumia dawa kila siku kulingana na magojwa waliyonayo huku utendaji wao ukiwa mzuri na wa kuigwa.
Binti Zion
Ndio maana siasa za maisha binafsi zinatakiwa kukemewa kwa nguvu zote maana zina madhara sana. Na madhara yanakwenda si kwa wanaorushiana maneno bali kwa watu wao wa karibu hasa familia. Hili suala la "umechukua mke wa mtu" basi na "wewe una VVU" ni mambo binafsi, ila kwa kuwa mambo ni mwaga ugali, nami nimwage mboga siasa zinasonga ndo tumefika hapa
...
[FONT=ArialMT, sans-serif]Hatutaki hata kuzungumzia status ya ukimwi kwa baadhi ya wagombea, ana wake wangapi, ana vimada wangapi...nani anakwenda nje kubadilisha damu kila miezi sita, hatutazungumzia siasa za chumbani kama wanavyotaka tufanye, kwa sababu hayatatatua matatizo tuliyonayo, alisema.[/FONT]
...kwanini wananchi wasielezwe wazi afya ya kiongozi wanayetaka kumchagua? Huo ndio ujumbe wangu kwanini tufiche ugonjwa.
Hivi kirefu cha Ukimwi ni nini na kirefu cha VVU ni nini hebu nipe shule.
Mi naona mama kikwete naye amtetee mumewe na CCM sijui angesemaje?...
I really wonder
Leo ndio umeyakumbuka maneno ya busara baada ya Lissu kusema hili.Kama hali ndiyo hiyo ndugu yangu,je,watanzania tunaelekea wapi? tunawajengea watoto wetu misingi ipi ya siasa za ushindani (vyama vingi)? kwamba lugha chafu zilizojaa kejeri,matusi, kashfya na udharalishaji ndizo mbinu sahihi katika siasa za ushindani?. Je ? hapo tunajenga au tunabomoa jamii iliyojengwa na wazee wetu katika misingi bora na imara .Tabia na mienendo ya kisiasa zinazoendelea hivi sasa lazima zikemewe na watanzania wote wenye kuitakia mema nchi yetu.
Mkuu huchoki???????? You would have been making a point lakini I see in ur mind unafikiri Dr. Slaa anazuia Lipumba kuchagulika which is non sense, this is democracy live with it. Na kinachoendelea kwenye hii ishu ni sehemu ya siasa. Kwa hiyo kama wewe unaona dr. slaa hafai kwa sababu ya hii issue ni sawa and you have tht right lakini siyo kulalamika weeeeeeeeeeeeee kwenye kila thread. Lipumba will be a distant third this yr, na ndiyo mwisho wake kisiasa. Mark my words. That is a fact, na ni sehemu ya siasa pia.[/QUOTE]
Kwenye bold huo ndio ukweli wenyewe hata kama wengine hawatapenda kuusikia.
Suala la Ukimwi ni confidential ila la chumbani ni public, is that you are trying to advocate!Jamani acheni hasira za kupitliza... suala la UKIMWI ni confidential na waathirika wanahaki zote za kufanya kazi na kuwa viongozi. tuache unyanyapaa. pengine hata wewe una UKIMWi umepima wewe? au hata dawa unatumia
Jamani acheni hasira za kupitliza... suala la UKIMWI ni confidential na waathirika wanahaki zote za kufanya kazi na kuwa viongozi. tuache unyanyapaa. pengine hata wewe una UKIMWi umepima wewe? au hata dawa unatumia