Kauli ya CDF mstaafu kuhusu waliotaka kupindisha katiba ili Rais Samia asiapishwe inanipa picha halisi ya kwanini Bashiru na wenzake walitenguliwa

Habari zenu wanaJF wenzangu, ama baada ya salam ningependa kuendelea na mada yangu hapa jukwaani.

Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Wakati raisi Samia alipoingia madarakani, haikupita hata miezi sita akaanza pangua pangua ya viongozi wakubwa pale ikulu akiwemo aliekuwa katibu mkuu kiongozi mhe Dr Bashiru ambae alikuwa amechukua nafasi hiyo muda mfupi tu baada ya aliekuwepo kufariki.

Wengi walianza kulalamika na kumlaumu Rais kwa hatua yake hiyo ya pangua pangua pale state house, mpaka wengine wakafikia hatua ya kusema kuwa raisi ana ugomvi sijui na sukuma gang, team Magufuli nk. Ila nyuma ya pazia hawakuwa wanajua ni kwanini raisi aliamua kufanya vile na kwa sababu gani.

Cheo cha katibu mkuu kiongozi ni cheo kikubwa sana kimamlaka, hivyo sio rahisi kuondolewa tu hivi hivi kienyeji bila kuwa na sababu ya msingi. Hivyo raisi kumuondoa mhe Bashiru katika nafasi ile ghafla bin vuu kulikuwa na sababu maalumu ambayo wengi hawakuijua.

Leo hii ukisikiliza kwa makini ile interview ya CDF mstaafu mhe Mabeyo, na kile kilichotokea baada ya mama kuingia (pangua pangua) utaona kabisa ni kina nani ambao walikuwa na mpango wa kupindisha katiba. Nakumbuka CDF Mabeyo wakati wa hotuba yake pale msibani alimwambia mhe raisi kuwa ana ujumbe wake ambao atamwambia pindi watapokuwa falagha kati yake na raisi.

Miezi kadhaa mbele baada ya msiba kuisha Rais Samia akaanza pangua pangua ambayo ilipelekea mhe Bashiru kuwa miongoni mwa waliotenguliwa, huku waziri mkuu na mawaziri wengine wakiendelea kubaki na vyeo vyao hadi leo.

So Rais anapotengua au kutea mtu huwa anafanya hivyo baada ya kupata taarifa za kutosha za anaeteuliwa au tenguliwa.

Leo niishie hapa.
Ni mtu mwenye ya hovyo ndiyo huwezi kumteua mtu km Bashiru kwenye nafasi kubwa km ile
 
Watumishi wengi wa uma hawajui na wala hawatendi kwa mujibu wa katiba na sheria (kuanzia chini hadi Rais). Husikiliza matakwa ya Rais au upepo wa siasa za ndani na nje.
Hii ndiyo changamoto kubwa. Tunatakiwa kujenga fikra za wananchi kuhoji na kuwashighulikia wale wote wasiofuata katiba na sheria.
Kweli kabisa 👍
 
Watumishi wengi wa uma hawajui na wala hawatendi kwa mujibu wa katiba na sheria (kuanzia chini hadi Rais). Husikiliza matakwa ya Rais au upepo wa siasa za ndani na nje.
Hii ndiyo changamoto kubwa. Tunatakiwa kujenga fikra za wananchi kuhoji na kuwashighulikia wale wote wasiofuata katiba na sheria.
Kweli kabisa
Why Now ?
It's a perfect time.
 
Ni ajabu sana kwamba siku za mwisho hadi Pombe anazidiwa kiasi hicho, VP alifichwa sinema nzima. Ningetegemea awe na taarifa kuhusu maendeleo ya matibabu ya boss wake. Kwa nini wamfiche mtu ambae kikatiba alitakiwa kuchukua madaraka baada ya Pombe kuzima?
Kwanini asiulize ? Inaonekana hakuwa anajali na uenda alikuwa anasali kila siku ili jamaa akate moto
 
..Mabeyo anastahili lawama.

..Kwanini MAKAMU WA RAIS hakuwa mtu wa kwanza kupewa taarifa kuwa Rais amefariki?

..Nimemsikia Mabeyo akisema eti kulikuwa na mjadala wa nani atangaze kifo cha Rais.

..Hivi Mabeyo na usomi wake, kutumikia jeshini kwa miongo kadhaa, na kutembelea nchi mbalimbali, hajui nani ana mamlaka ya kutangaza kifo cha Raisi? Kwamba walihitaji majadiliano?
Hueleweki
 
Habari zenu wanaJF wenzangu, ama baada ya salam ningependa kuendelea na mada yangu hapa jukwaani.

Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Wakati raisi Samia alipoingia madarakani, haikupita hata miezi sita akaanza pangua pangua ya viongozi wakubwa pale ikulu akiwemo aliekuwa katibu mkuu kiongozi mhe Dr Bashiru ambae alikuwa amechukua nafasi hiyo muda mfupi tu baada ya aliekuwepo kufariki.

Wengi walianza kulalamika na kumlaumu Rais kwa hatua yake hiyo ya pangua pangua pale state house, mpaka wengine wakafikia hatua ya kusema kuwa raisi ana ugomvi sijui na sukuma gang, team Magufuli nk. Ila nyuma ya pazia hawakuwa wanajua ni kwanini raisi aliamua kufanya vile na kwa sababu gani.

Cheo cha katibu mkuu kiongozi ni cheo kikubwa sana kimamlaka, hivyo sio rahisi kuondolewa tu hivi hivi kienyeji bila kuwa na sababu ya msingi. Hivyo raisi kumuondoa mhe Bashiru katika nafasi ile ghafla bin vuu kulikuwa na sababu maalumu ambayo wengi hawakuijua.

Leo hii ukisikiliza kwa makini ile interview ya CDF mstaafu mhe Mabeyo, na kile kilichotokea baada ya mama kuingia (pangua pangua) utaona kabisa ni kina nani ambao walikuwa na mpango wa kupindisha katiba. Nakumbuka CDF Mabeyo wakati wa hotuba yake pale msibani alimwambia mhe raisi kuwa ana ujumbe wake ambao atamwambia pindi watapokuwa falagha kati yake na raisi.

Miezi kadhaa mbele baada ya msiba kuisha Rais Samia akaanza pangua pangua ambayo ilipelekea mhe Bashiru kuwa miongoni mwa waliotenguliwa, huku waziri mkuu na mawaziri wengine wakiendelea kubaki na vyeo vyao hadi leo.

So Rais anapotengua au kutea mtu huwa anafanya hivyo baada ya kupata taarifa za kutosha za anaeteuliwa au tenguliwa.

Leo niishie hapa.
Waliokataa Samia kuchukua nchi mpaka sasa naona walikuwa sahihi 100% maana hali ya maisha ya Wananchi kitaa siyo poa kabisa!
 
Naulizatu kwa mfano, Inakuaje bosi wako akiumwa na asitake ushiriki katika matibabu yake?
Utaanza kumuendea na katiba kwamba kuwa karibu nae nitakwa la kikatiba?
Mbona naona kitu kipo wazi hapo
 

Mkuu,

Shukurani kwa hii video ya Ansbert Ngurumo.

Mimi nilisema awali hizi stories za Mabeyo si kuhusu kifo cha Magufuli zaidi ya kuhusu urais wa Samia. Nafurahi kuona Ngurumo kaligusia hili pia.

Kuhusu kifo cha Magufuli Jasusi Chahali alituambia Magufuli kafariki tangu tarehe 12. Kama Chahali kasema kweli, Mabeyo kadanganya mpaka tarehe ya kifo.

Kama Chahali yuko sawa, kwa wiki nzima kuanzia March 12 mpaka March 19 2021, Tanzania haikuwa na Rais.

Na Mabeyo hawezi kusema lolote bila kupata go ahead ya Samia.

Ngurumo kasema hili pia.
 
Mkuu,

Shukurani kwa hii video ya Ansbert Ngurumo.

Mimi nilisema awali hizi stories za Mabeyo si kuhusu kifo cha Magufuli zaidi ya kuhusu urais wa Samia. Nafurahi kuona Ngurumo kaligusia hili pia.

Kuhusu kifo cha Magufuli Jasusi Chahali alituambia Magufuli kafariki tangu tarehe 12. Kama Chahali kasema kweli, Mabeyo kadanganya mpaka tarehe ya kifo.

Kama Chahali yuko sawa, kwa wiki nzima kuanzia March 12 mpaka March 19 2021, Tanzania haikuwa na Rais.

Na Mabeyo hawezi kusema lolote bila kupata go ahead ya Samia.

Ngurumo kasema hili pia.
Of course chochote alichosema Mabeyo na atakachosema ni go ahead ya samia
 

Upumbavu mtupu! Kuanzia Magufuli, Samia, Mabeyo on down!

1. Samia wakati anatangaza, alikuwa emotional. Ilikuwa inasikika hata kwenye sauti yake, achilia mbali sura yake ya majonzi!

2. Je, Samia alikuwa anajifanyisha tu kuwa anasikitika ilhali moyoni ana furaha?

3. Mabeyo naye maelezo yake yana mapungufu mengi tu na yamezua maswali kibao.

4. Sasa haijulikani hata ukweli ni upi hasa. Nani aaminiwe kwa maneno yake? Tuwaamini Team Samia?

5. Ni mambo ya ajabu kweli nchi inavyoendeshwa. Kila kitu kinafanywa siri hata pasipo na ulazima.

6. Mimi siwaamini wote. Tena na vile Magufuli hayupo naye kusimulia upande, waliobaki siwaamini masimulizi yao. Kila simulizi yao inavutia upande wao tu.

Banana republic stuff.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu, ama baada ya salam ningependa kuendelea na mada yangu hapa jukwaani.

Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Wakati raisi Samia alipoingia madarakani, haikupita hata miezi sita akaanza pangua pangua ya viongozi wakubwa pale ikulu akiwemo aliekuwa katibu mkuu kiongozi mhe Dr Bashiru ambae alikuwa amechukua nafasi hiyo muda mfupi tu baada ya aliekuwepo kufariki.

Wengi walianza kulalamika na kumlaumu Rais kwa hatua yake hiyo ya pangua pangua pale state house, mpaka wengine wakafikia hatua ya kusema kuwa raisi ana ugomvi sijui na sukuma gang, team Magufuli nk. Ila nyuma ya pazia hawakuwa wanajua ni kwanini raisi aliamua kufanya vile na kwa sababu gani.

Cheo cha katibu mkuu kiongozi ni cheo kikubwa sana kimamlaka, hivyo sio rahisi kuondolewa tu hivi hivi kienyeji bila kuwa na sababu ya msingi. Hivyo raisi kumuondoa mhe Bashiru katika nafasi ile ghafla bin vuu kulikuwa na sababu maalumu ambayo wengi hawakuijua.

Leo hii ukisikiliza kwa makini ile interview ya CDF mstaafu mhe Mabeyo, na kile kilichotokea baada ya mama kuingia (pangua pangua) utaona kabisa ni kina nani ambao walikuwa na mpango wa kupindisha katiba. Nakumbuka CDF Mabeyo wakati wa hotuba yake pale msibani alimwambia mhe raisi kuwa ana ujumbe wake ambao atamwambia pindi watapokuwa falagha kati yake na raisi.

Miezi kadhaa mbele baada ya msiba kuisha Rais Samia akaanza pangua pangua ambayo ilipelekea mhe Bashiru kuwa miongoni mwa waliotenguliwa, huku waziri mkuu na mawaziri wengine wakiendelea kubaki na vyeo vyao hadi leo.

So Rais anapotengua au kutea mtu huwa anafanya hivyo baada ya kupata taarifa za kutosha za anaeteuliwa au tenguliwa.

Leo niishie hapa.
Dotto James ndio alijiapiza kufadhili mkakati huo, Polepole alikiwa anachombeza kwa nguvu zote, Katibu wa vikao hivyo alikuwa Bashiru Ally, mtafasiri wa katiba ili waone kama itapinda ni Kabudi, kila mara anaitwa huku na kule, Kalemani sasa....
 
Back
Top Bottom