mie siwezi kutunga kauli mbiu source Tucta yaandaa maombi kwa Rais Kikwetehii umeitunga wewe au?
kauli mbiu ya siku ya wafanyakazi yaani mei mosi kwa mwaka huu ni.. serikali isipojali maslahi ya wafanyakazi tunakuwa kama watumwa ndani ya nchi yetu.... Nadhani mkewe na serikali yake ujumbe huu utamfikia....tafakari na chukua hatua
kwa nini kikwete awe mgeni rasmi mei mosi