UAMSHO tusipoibana mapema hawna tofauti na ALQAEDA, BOKOHARAM NA ALSHABAB
mkuu nadhani hilo neno la mwisho ndo lilimponza msaidizi Mufti nakumbuka pale msikitini baada ya eid alitowa mbovu sana mpaka akawita uamsho ni wahuni na alshabab kwa mawazo yangu sasa wanatiana vita yeye na Alshabab,
Haya mambo mkuu ni hatari sana kwa kweli nadhani kwa mawazo yangu serikali inafaa kukaa kitako na hawa watu wakamalizana kiungwana vyenginevyo vita yake itakuwa nouma.