Nyakati zinasaidia katika kujua maana ya tukio. wakati ccm na cuf zina ugomvi na mapigano zanzibar. Alipouliwa askari pemba mwaka 2007 lawama zilienda kwa CUF kua ni wauwaji wakubwa. Sasa nyakati hizi ni ugomvi baina ya UWAMSHO na serekali je mauaji ya kiungo chochote kinacholipwa na serekali yatakua ni ya nani? kwanini hakumwagiwa tindi kali wakati wa malumbano ya vyama? kwanini amemwagiwa tindi kali baada ya kuwaambia waislam wasijishughulishe na vurugu za uamsho? na kuwaambia kua haki zao zitakuja kwa amani na sio kwa malumbano na uporaji wa mali??????
Lifkirieni na hilo pia. NYAKATI IS MATTER
Katika nyakati zako hujawahi kusikia kuna vikundi vya kihuni zanzibar vinaitwa UBAYA UBAYA, MBWA MWITU, SURA MBAYA, SIMBA DUME? Hujawahi kusikia katika nyakati zako? Km bado ebu ulizia kisha utajua kama zenjy ugomvi si uamsho na serikali tu, bali hadi vikundi nlivokutajia.
Btw, NOTICE: ILE PAGE YA UAMSHO YA FB HAIENDESHWI NA JUMUIYA YENYEWE BALI NI MTU WA KAWAIDA TU, SO SIO KILA KITAKACHOANSIKWA KATIKA PAGE ILE NI FROM OFFICIALS