Lakini mbona wanaojivua uanachama ni Arusha tu? Je kuna msukumo au nguvu " push strategy"? People's Power- tuwe makini, isije ikawa mkakati wa Raila Odinga, akiingia katika chama anaingia na watu wake, akitoka anatoka na watu na kukiacha chama kikiwa dhaifu kuliko mwanzo!!!!