Chilipamwao
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 523
- 128
Nimesoma hapa jamvini kuwa katibu mpya wa wilaya ya mbeya CCM ni Raymond Mwangwale. Nimecheka sana, huyu bwana amesoma sm Azimio na tumesoma pamoja MBEYA DAY 1995-1998. hana kitu na kama CCM wamedhani kuwa kumleta huyu Mbeya ndio dawa, wasubiri matokeo!..