Katiba sifuri ya CUF kuvunja Muungano na kuitambua Tanganyika

Luteni

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
2,274
302
Katika ibara ya kwanza ya katiba sifuri ya CUF inasema itavunja Muungano wa Tanzania unaoundwa kati ya Tanganyika na Zanzibar na kuunda Serikali ya Shirikisho litakalokuwa chini ya rais mmoja.

Ibara ya 100 inahusu uwapo wa Serikali ya Tanganyika na ya Zanzibar ambazo zitakuwa na mamlaka juu ya mambo yote yasiyo ya Shirikisho ambapo kwa mujibu wa rasimu hiyo, Kiongozi Mkuu wa Serikali ya Tanganyika na pia Kiongozi Mkuu wa Serikali ya Zanzibar, ataitwa Gavana.

Pia Ibara ya 101 katika rasimu hiyo iliyotolewa na CUF, inasema kuwa magavana wa
Tanganyika na Zanzibar watachaguliwa kwa mujibu wa Katiba ya Tanganyika na Katiba ya Zanzibar.

Tujadili.
 
Mkuu,

Ungeanza wewe kutoa mawazo yako.
Sisi tutachukua kuanzia hapo.
Hivi hiyo rasimu ya katiba ina ibara ngapi ?
Imwage humu tuione, Mkuu.
 
Katika ibara ya kwanza ya katiba sifuri ya CUF inasema itavunja Muungano wa Tanzania unaoundwa kati ya Tanganyika na Zanzibar na kuunda Serikali ya Shirikisho litakalokuwa chini ya rais mmoja.

Ibara ya 100 inahusu uwapo wa Serikali ya Tanganyika na ya Zanzibar ambazo zitakuwa na mamlaka juu ya mambo yote yasiyo ya Shirikisho ambapo kwa mujibu wa rasimu hiyo, Kiongozi Mkuu wa Serikali ya Tanganyika na pia Kiongozi Mkuu wa Serikali ya Zanzibar, ataitwa Gavana.

Pia Ibara ya 101 katika rasimu hiyo iliyotolewa na CUF, inasema kuwa magavana wa
Tanganyika na Zanzibar watachaguliwa kwa mujibu wa Katiba ya Tanganyika na Katiba ya Zanzibar.

Tujadili.

Tuajdili kipi kati ya viwili ulivyoviweka hapo? Kuvunja Muungano au Shirikisho?
 
Katika ibara ya kwanza ya katiba sifuri ya CUF inasema itavunja Muungano wa Tanzania unaoundwa kati ya Tanganyika na Zanzibar na kuunda Serikali ya Shirikisho litakalokuwa chini ya rais mmoja.

Ibara ya 100 inahusu uwapo wa Serikali ya Tanganyika na ya Zanzibar ambazo zitakuwa na mamlaka juu ya mambo yote yasiyo ya Shirikisho ambapo kwa mujibu wa rasimu hiyo, Kiongozi Mkuu wa Serikali ya Tanganyika na pia Kiongozi Mkuu wa Serikali ya Zanzibar, ataitwa Gavana.

Pia Ibara ya 101 katika rasimu hiyo iliyotolewa na CUF, inasema kuwa magavana wa
Tanganyika na Zanzibar watachaguliwa kwa mujibu wa Katiba ya Tanganyika na Katiba ya Zanzibar.

Tujadili.
ukiondoa hiyo bold zilizobaki ni pumba ambazo zitaongeza gharama na migongano isiyo na msingi!
Vunja zanzibar ibaki mkoa, kisha tunabaki na serikali moja!
 
Hiyo ndio Democracy mkuu kila Taifa liwe na Dola yake huru....ikiwa ni vigumu basi ni bora mufanye muungano kama wa Scotland na England na kuwa United Kingdom lakini kila Nchi inafanya mambo yake kivyake bila kuzulumiana!!!!!!
 
Wamezungumzia serikali ya shirikisho. Maana yake si kuvunja muungano bali ni kubadili muundo wa Muungano. Kuvunja Muungano maana yake ni kuondoa kabisa serikali ya muungano, na kurudisha nchi mbili huru ambazo ni Tanganyika na Zanzibar. Ni kweli hayo ndo yaliyomo kwenye rasimu ya katiba?
Hiyo tafsiri potofu uliyoleta imetolewa na gazeti la Habari leo kwahiyo jaribu kuipitia vizuri.
 
ukiondoa hiyo bold zilizobaki ni pumba ambazo zitaongeza gharama na migongano isiyo na msingi!
Vunja zanzibar ibaki mkoa, kisha tunabaki na serikali moja!

Mkuu,

Tanzania ni muungano wa nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar.
Unaposema vunja Zanzibar basi unakuwa hutatui tatizo ila unaongeza tatizo.

Nafikiri ni jambo la busara kwa sisi kukubali kuwa Zanzibar ni equal partner katika muungano. Kutaka au kujaribu kuifanya Zanzibar kuwa mkoa, itakuwa ni annexation.

Tutapata matatizo huko mbele.
Jaji mkuu , Chande alifanya kazi ya kuitoa East Temor kutoka Indonesia bado hatutaki kusoma hapo?

Nafikiri rai ya kuunda serikali ya shirikisho ni rai nzuri, kwani kutakuwa na state governments mbili na serikali ya shirikisho/kuu moja. Haitatatua kila tatizo lakini itapunguza msuguano katika muungano.

Kwa hiyo, sioni kuwa wao wanataka kuvunja muungano bali wanataka equality kwa partners wa muungano. je wewe unapinga usawa?
 
katu Zanzibar haiwezi kuwa equal partner. Nguvu za California katika United States hazilingani na Rhode Island.
 
Mkuu,

Tanzania ni muungano wa nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar.
Unaposema vunja Zanzibar basi unakuwa hutatui tatizo ila unaongeza tatizo.

Nafikiri ni jambo la busara kwa sisi kukubali kuwa Zanzibar ni equal partner katika muungano. Kutaka au kujaribu kuifanya Zanzibar kuwa mkoa, itakuwa ni annexation.

Tutapata matatizo huko mbele.
Jaji mkuu , Chande alifanya kazi ya kuitoa East Temor kutoka Indonesia bado hatutaki kusoma hapo?

Nafikiri rai ya kuunda serikali ya shirikisho ni rai nzuri, kwani kutakuwa na state governments mbili na serikali ya shirikisho/kuu moja. Haitatatua kila tatizo lakini itapunguza msuguano katika muungano.

Kwa hiyo, sioni kuwa wao wanataka kuvunja muungano bali wanataka equality kwa partners wa muungano. je wewe unapinga usawa?
Ulishawahi kufika hiyo nchi ya kwenye rangi nyekundu? Kama hiyo imefutwa tatizo ni nini kuiondoa na nyingine?
 
katu Zanzibar haiwezi kuwa equal partner. Nguvu za California katika United States hazilingani na Rhode Island.

mkuu,
kwa hiyo dhana ya usawa kwako haiko?
kama nchi moja ni kubwa na nyengine ni ndogo katu hakuna usawa?
jee kwenye EAC Rwanda ni mshirika sawa na TZ au??
 
Kisheria kuvunjika kwa muungano na kuunda shirikisho la Nchi za zanzibar na tanganyika kusaidia kupunguza migongano ya kisheria isiyo ya lazima. kiujumla Rasimu sifuri ya katiba iliyotayarishwa na CUF ni nzuri, inalenga mabadiliko yenye tija. Suala la MUUNGANo lililopo sasa ni fake, ni usanii fulani ambao kisheria Muungano wa aina hii haupo.
 
ukiondoa hiyo bold zilizobaki ni pumba ambazo zitaongeza gharama na migongano isiyo na msingi!
Vunja zanzibar ibaki mkoa, kisha tunabaki na serikali moja!


Ni rahisi sana kuivunja Tanganyika kwa maana hai exist na sio Zanzibar. Mie naona umetoka kuamka kijana.
 
Huyo ni wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sio Tanganyika
Mkuu,

umeshawahi kusikia term ya mtu kuvaa kofia mbili?

Pitia historia ya Muungano..Nyerere rais wa Tanganyika ,pia alikuwa Rais wa URT.

Sasa Mwalimu aliipeleka wapi Tanganyika yetu kama haipo? hivi pande la ardhi la Tanganyika yetu halipo? Mbona kuna mambo ya Tanganyika? Sote sasa tumekuwa wasanii?
 
Back
Top Bottom