KATIBA: Askofu Ruzoka amlima barua Waziri

Soma vizuri utanielewa

Kama angekuwa na moyo angeita kongamano na kuwambia watu alkini sio kupitia TEC, Je hapa hakuna UDINI?
Kwahiyo hao wananchi wa TEC hawana haki kwasababu tu wao ni TEC?
Kwa kifupi kama huelewi,anawawakilisha wananchi ambao wametokea kuwa waumini wa hiyo unayoiita TEC.
Tukirudi kwenye mada,kama muswada wenyewe ndo huu kuna maana gani ya kusema ni mabadiliko?
 
Soma vizuri utanielewa

Kama angekuwa na moyo angeita kongamano na kuwambia watu alkini sio kupitia TEC, Je hapa hakuna UDINI?

Upembinifu hafifu! Soma vizuri barua ile. Ameandika sio kama Ruzoka bali Mwenyekiti wa Tume ya Haki ya TEC! Inamaanisha walishakaa na kufanyia maamuzi. Usipende kuona kila kitu katika upenyo mfinyu wa kiubaguzi!
 
Je TEC ina watu gani? HISTORIA YAKE IKOJE? NANI WALIKUWEPO mwanzani na sasa wako wapi?
Kama ni wananchi wanaoishi kwa kufuata sheria za nchi unataka kujua historia ili iweje?Kwani wao wanagombea uongozi ama?Tunazungumzia mass of people who demands true change siyo watu wachache kama unavyoonyesha kuelewa.Kumbe ukibanwa huna hoja,teh teh teh..
 
Kwanini upande wa pili ukitoa tamko mnalibeza?
Tamko bila kujali limetoka dini gani litabezwa endapo litakosa 'substance' lakini sitaki kuamini kuwa kila tamko la waislam linakosa substance, sidhani pia kuwa wote wanaokosoa matamko ya waislam ni wakristo pekee au wanaokosoa ya wakristo ni waislam pekee.

BTW, hakuna cha maana umeona kwenye barua hii?
 
Barua imekaa kisomi, SASA subirini muone watu watakavyoingia mkenge.

Kesho wavaa lapaz watatoa waraka/tamko, juu ya hii barua ya kisomi.

Subirini muone.
 
Tamko bila kujali limetoka dini gani litabezwa endapo litakosa 'substance' lakini sitaki kuamini kuwa kila tamko la waislam linakosa substance, sidhani pia kuwa wote wanaokosoa matamko ya waislam ni wakristo pekee au wanaokosoa ya wakristo ni waislam pekee.

BTW, hakuna cha maana umeona kwenye barua hii?
Max,watu waambiwe ukweli tu,kwani hao wakristo siyo wananchi?Na kama ni wananchi,then kinachofuatia ni kuangalia hoja yao kama ina elements zenye religion prejudice,mada iliyoko mbele yetu ni ya kitaifa,ndiyo maana wengi wetu tunashiriki tofauti na nyingine wanazotundika humu zenye elements hizo za udini.
Ukweli ndo huo,ni wananchi ila wametokea kuwa wakristo,sasa kama wakristo hawana haki,hiyo ni another issue.
 
Hivi TEC ni kamati ya uongozi ya CHADEMA? Mbona mawazo yao yanafanana na ya yule Padre kiongozi wa CHADEMA?
Ni vigumu sana kutofautisha Chadema na hawa!

Hivi huyu kafanya utafiti? Slaa upo? Kwanini hasemi "hasira za wakatoliki" anaowawakilisha anajifanya hasira za Watanzania wote?
Mkapa alileta "WHITE PAPER" iliyokuwa utumbo mtupu, mbona barua hizi hatukuzisikia? Au wanapata sasa akili?

TANZANIA HAMNA UDINI !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwanini hajaandika barua yeye kama yeye? na kaamua kupitia TEC

Kwa kuwa nchi inajumuisha individuals and groups of individuals. Katika suala linalohusu hatma ya kila mtu everyboby has equal right, asiyejua na kubisha hilo ni kipofu na kiziwi wa fikra.
 
Na hao wanaodhani kama barua hiyo ina hoja ya ukristo,basi waiweke wazi,barua iko hapo juu,na kama hawana,basi waache mjadala uendelee.
 
Guys I wish wote mngekuwa kama mimi, Ignore kupeng'e!! kwa nini mnamjibu??? thread tamu imeishaharibika!

ASKOFU big up ubarikiwe!
Mkuu Waberoya, uki-ignore unakosea; hawa wapo, wanahitaji kuelimishwa. A nice approach can help, you need to be patient usije ukabamiza pc yako kwa hasira.

Najua Kupeng'e anawakilisha kundi kubwa la namna yake, kama msomi huyu anaona Muswada hauna mapungufu hata kidogo, waza akipewa nchi huyu mwenzetu taifa litaenda wapi? Ni waziri/rais mtarajiwa huyu
 
Hivi TEC ni kamati ya uongozi ya CHADEMA? Mbona mawazo yao yanafanana na ya yule Padre kiongozi wa CHADEMA?
Ni vigumu sana kutofautisha Chadema na hawa!

Hivi huyu kafanya utafiti? Slaa upo? Kwanini hasemi "hasira za wakatoliki" anaowawakilisha anajifanya hasira za Watanzania wote?
Mkapa alileta "WHITE PAPER" iliyokuwa utumbo mtupu, mbona barua hizi hatukuzisikia? Au wanapata sasa akili?

TANZANIA HAMNA UDINI !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Na ndiyo maana kila anayeona kasoro akaionyesha huitwa CHADEMA. Mnawapa CHADEMA credits ambazo wakti mwingine hawakustahili, jadili hoja mkuu, tusiende huko mnakotulazimisha kwenda
 
guys i wish wote mngekuwa kama mimi, ignore kupeng'e!! Kwa nini mnamjibu??? Thread tamu imeishaharibika!

Askofu big up ubarikiwe!
we mwaache aendelee kuendekeza ufinyu wake wa mawazo .intellectual mind inabidi tuachane nae kabisa maana tutaonekana wajinga kabisa thread nyingi zenye ujumbe huyu jamaa huwa anazidiverge
 
Hivi TEC ni kamati ya uongozi ya CHADEMA? Mbona mawazo yao yanafanana na ya yule Padre kiongozi wa CHADEMA?
Ni vigumu sana kutofautisha Chadema na hawa!

Hivi huyu kafanya utafiti? Slaa upo? Kwanini hasemi "hasira za wakatoliki" anaowawakilisha anajifanya hasira za Watanzania wote?
Mkapa alileta "WHITE PAPER" iliyokuwa utumbo mtupu, mbona barua hizi hatukuzisikia? Au wanapata sasa akili?

TANZANIA HAMNA UDINI !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mbona mawazo yako yanafanana na watu walioko Mirembe lakini bado unavumiliwa humu?Ndo freedom of speech hiyo,haya ni mawazo ya wananchi yasiyo na chembe ya udini,ukifikiri kwa kupitia makamasi badala ya ubongo, matokeo yake ndo haya.
 
na ndiyo maana kila anayeona kasoro akaionyesha huitwa chadema. Mnawapa chadema credits ambazo wakti mwingine hawakustahili, jadili hoja mkuu, tusiende huko mnakotulazimisha kwenda
mkuu melo kwa kweli hawa jamaa wanahitaji darasa sana wako hapa kwa ajili ya divergences tu.ila mapambano yaliyo anza yamefika mstari wa mbele hakuna propaganda tena.
 
Uandaaji wa Katiba Mpya unayataka makundi yote ya jamii kutoa mapendekezo yao. Makundi hayo ni pamoja na taasisi za dini, wazee, wanawake,wanaume, wasomi, walemavu, wafungwa n.k. Sasa TEC ni nini kama siyo kundi katika jamii?
 
Nasubiri counter attack ya masheikh maana wamezoea maaskofu waanzishe na wao wapate cha kusema. Najua baadhi mtabisha but wait and see !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom