Wakuletwa
Senior Member
- Oct 31, 2010
- 134
- 9
Hakuhitajiki ushabiki katika swala hili.... Ni hekima na busara ndio zitawale na wala sio elimu ya mtu, cheo au madaraka ila matakwa ya watanzania wote bila kujali dini, kabila, rangi n.kkanisa likishasema basi hakuna wa kupinga!muswada umeshagonga mwamba!