Kati ya watangaza nia wote, yupi umeona anafaa?

Binafsi hii ndio mara ya kwanza kufuatilia chaguzi za Tanzania kwa ukaribu as days go the situation is becoming more perplexing to say the least.

Hata sijui ni kigezo gani kinatumika kuchagua mgombea kwanza huko ndani ya CCM so far sijajua zipi hasa ni nasaba za chama kwenye jamii na hoja binafsi inayoombea ridhaa kwenye hotuba nilizo zisikia thus far.

Maana kila mtu anakemea ufisadi wakati hili swala kikawaida kama ni tatizo maana yake msalaba ni wa kubebwa na chama kizima for simple reason uongozi wajuu wote unaosimamia na kuendesha serikari ni kutoka humo humo ndani ya chama cha CCM, mbinu za utawala na usimamizi wa rasilimali ni kutokana na agenda ya chama tawala.

The only way madai yao yawe sahihi kwanza inabidi wafukuzane wenyewe, warekebishe mbinu zao wao wenyewe za usimamizi na kila kitu kuhusu mambo ya kichama: Binafsi nilitarajia kusikia wagombea wakitofautiana kimkakati lakini sera zao bado zinasimama na uhusiano wao na wapiga kura na kutokana na mlengo wa chama. Mpaka dakika hii sielewi CCM ni chama cha mlengo gani kuna clear contrasts za kimtazamo between the equality of income policies and equality of opportunity sasa inapotekea wanachama wanatofautiana hapo kuna tatizo kubwa na common sense says hakuna hata mmoja anahusika na utunzi wa ilani kuelekea uchaguzini.

For what is worth walau Mwigulu alibaki katika itikadi za chama ingawa not convincing enough hao wengine mi hata sikuwaelewa kabisa.
 
Wandugu, SUMAYE yuko vizuri,, si fisadi, alikuwa PM miaka 10, akakaa nje ya serikali (mtaani) kwa miaka 10, hivyo anajua challenges za uongozi pamoja na challenges na matatizo ya wananchi...this is a very rare and good mix.. anajua kujieleza rationally...kwa kweli huyu atatuvusha
Mkuu nadhani watu wa Kibaigwa wanaweza kutueleza zaidi kumhusu. Kiufupi mpaka watueleze waliifanyia nini Tanzania na wametengeneza ajira ngapi. Na walibinafsisha mashirika mangapi bila kusahau mikataba ya wawekezaji katika utumishi wao. Ndipo nitajaribu kuwaelewa
 
mbona mna kiherehere? wacha kwanza wamalize sasa ndo tutoe tathimini. tulizeni munkari!!!
 
Madongo watu hawawezi kuacha kutupa cha msingi apite kwa sifa zinazohitajika sio kwa sababu dhaifu kama vile awe anajulikana hatufuti celebrity hapa, awe wa jinsi fulani hatutafuti uzazi hapa, awe anachagulika baada ya kuchaguka atupe nini siyo achagulike aende kufilisi Ikulu, awe na sura nzuri, sura itusaidie nini? . Visifa vya namna hiyo
Makongoro na Mwandosya; mmoja wao akisimamishwa na CCM basi 2015 utakuwa mwaka wa kukumbukuwa sana katika historia ya siasa za uchaguzi Tanzania. UKAWA ni coalition yenye nguvu sana Tanzania sasa hivi kwa hiyo inabidi CCM ije na mgombea ambaye hawezi kutupiwa madongo kirahisi na UKAWA: ni hao wawili tu waliopo ndani ya CCM ninaowaona kwa sasa hivi.
 
Wakuu naomba kujua endapo taarifa hii ni ya kweli....msinitukane lakini na mimi nimetumiwa tu...sijui ndo ile sheria mpya itanikaba koo??
* LOWASSA HAKAMATIKI

Ikiwa mchakato wa kuchukua fomu unaedelea, ebu tutumie dakika chache kutafakari nguvu ya kila mgombea... Nguvu ya mgombea au mgombea mtarajiwa tunaweza kuijua kutokana na jinsi anavyoungwa mkono na wananchi, wanachama, wajumbe wa vikao mbalimbali, na viongozi kwa ujumla wao...

Mpaka sasa ni takriban wagombea 9 washatangaza nia, ebu sasa tuangalie idadi ya viongozi/wajumbe waliowasindikiza siku wanatangaza nia (Hasa Wenyeviti wa CCM Mikoa, WaNec, wabunge na wajumbe wa mkutano mkuu)....

1. Edward Lowassa.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~23 kati ya Mikoa 30
. Wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC)~286 kati ya 378
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa~1967/2600's..
. Wabunge wa JMT~168/357

2. Fredrick Sumaye.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa Halmashauri kuu (NEC)~0
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa~2
. Wabunge~0

3. Prof. Mack Mwandosya.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~2
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~4
. Wabunge~2

4. Mwigullu Nchemba.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~3
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~7
. Wabunge~4

5. Stephene Wassira.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~3
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~7
. Wabunge~3

6. Dr. Titus Kamani.. Waliohudhuria..
. Wenyeviti wa Mikoa~1
. Wajumbe wa NEC~2
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~3
. Wabunge~1

7. Prof. Muhongo... Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~0
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~2
. Wabunge~1

8. Makongoro Nyerere.. Waliohudhuria..
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~1
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~3
. Wabunge~2

9. Balozi Karume.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~0
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~2
. Wabunge~0

Mytake:... Sauti ya watu ni sauti ya Mungu.... Hii ndiyo safari ya Matumaini.........
 
Wakuu naomba kujua endapo taarifa hii ni ya kweli....msinitukane lakini na mimi nimetumiwa tu...sijui ndo ile sheria mpya itanikaba koo??
* LOWASSA HAKAMATIKI

Ikiwa mchakato wa kuchukua fomu unaedelea, ebu tutumie dakika chache kutafakari nguvu ya kila mgombea... Nguvu ya mgombea au mgombea mtarajiwa tunaweza kuijua kutokana na jinsi anavyoungwa mkono na wananchi, wanachama, wajumbe wa vikao mbalimbali, na viongozi kwa ujumla wao...

Mpaka sasa ni takriban wagombea 9 washatangaza nia, ebu sasa tuangalie idadi ya viongozi/wajumbe waliowasindikiza siku wanatangaza nia (Hasa Wenyeviti wa CCM Mikoa, WaNec, wabunge na wajumbe wa mkutano mkuu)....

1. Edward Lowassa.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~23 kati ya Mikoa 30
. Wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC)~286 kati ya 378
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa~1967/2600's..
. Wabunge wa JMT~168/357

2. Fredrick Sumaye.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa Halmashauri kuu (NEC)~0
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa~2
. Wabunge~0

3. Prof. Mack Mwandosya.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~2
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~4
. Wabunge~2

4. Mwigullu Nchemba.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~3
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~7
. Wabunge~4

5. Stephene Wassira.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~3
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~7
. Wabunge~3

6. Dr. Titus Kamani.. Waliohudhuria..
. Wenyeviti wa Mikoa~1
. Wajumbe wa NEC~2
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~3
. Wabunge~1

7. Prof. Muhongo... Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~0
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~2
. Wabunge~1

8. Makongoro Nyerere.. Waliohudhuria..
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~1
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~3
. Wabunge~2

9. Balozi Karume.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~0
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~2
. Wabunge~0

Mytake:... Sauti ya watu ni sauti ya Mungu.... Hii ndiyo safari ya Matumaini.........

Vibaka hao wamepora nchi yetu ya wakulima na wafanyakazi. Waturudishie nchi yetu. - Makongoro Nyerere
 
hizo suruali zote hakuna hata moja inayofaa zote ni uozo tu kama ni wizi na ufisadi wamefanya vya kutosha hawana mvuto tena safari zao zote ni za matumaini kwani tumeshaona wataishia njiani wote hawatafika ikulu kinachoweza kuwakomboa ccm kwa muda huu uliosalia dakika za majeruhi tuleteeni sketi sasa ngoja tuone wanawake watakaopanda jukwaani hebu mleteni hata mama migiro nitampigia saluti aisee
 
Mwalimu Nyerere alisema ikulu ni mahali patakatifu, Lakini sasa hivi kila mtu anataka kuelekea huko hata mafisadi papa wanatangaza nia . Hata Marekani walipotokea wanataka kuchagua rais sidhani kama kulikuwa na utitiri wa wagombea kama hivi.

Na sidhani kama hii ni demokrasi katika CCM ,bali ni dharau kwa Watanzania ,cheo cha urais na ikulu kwa ujumla kwa sababu , ikulu sio gheto . Hamna jipya mtakalo watendea watanzania tunawaomba mkae pembeni
 
Prof. Muhongo kwa sababu anajiamini siku zote na anachokifanya, ni muadilifu, ni mchapakazi, ana uzoefu wa kutosha.Pia nchi yetu yenye utitiri wa rasilimali inamhitaji mtu huyu kwa ajili ya kuleta maendeleo katika nchi yetu ya kutosha.Kama CCM itampitisha nampa kura yangu.
 
Vibaka hao wamepora nchi yetu ya wakulima na wafanyakazi. Waturudishie nchi yetu. - Makongoro Nyerere

Alikuwa wapi miaka yote wakati wanapora nchi? Ndio kaona leo kwamba wanapora nchi? Maigizo haya!
 
profesaa muhongo yupo vizuri sana tatizo jeuri na dharau
mwigulu safi sana japo uwezo wake uishie kwenye uwaziri mkuu
sumaye anaijua nchi vizuri na utendaji wake umetukuka
lowassa hana jipya anatumia nguvu ya fedha tu
wassira anaongea siasa tu hana sera

final i conclude MUHONGO SOSPETER is the best candidate
 
"Katika hali ya kunishangaza, nilikuwa nabadilishana mawazo na mzungu mmoja raia
wa Ujerumani kwenye N.G.O yake. Katamka maneno yaliyonistaajabisha.
Tumeongea mambo mengi lakini baadae tukaanza kuongelea siasa. Akasema kuna
yule aliekuwa waziri mkuu anaitwa Lowasa, nimeona sasa mnampenda sana. Mimi
nikamjibu inaonekana kuna Watanzania wanampenda awe Rais. Yule Mzungu
akaniuliza, si yule aliejiuzuru kwa sababu ya Corruption?, nikamjibu ndie huyo.
Akasema, wakati ule alionekana amekula Rushwa, sasa anataka kuwa Rais na watu
wanamuunga mkono!, akaongezea kwa kusema how can you easily forget?, how can
you easily change your mind?, yaani mnawezaje kuwa wasahaulifu namna hii,
mnawezaje kubadili fikra zenu haraka hivi juu yake?, hapo mimi nikabaki na
kigugumizi. Akaongeza, au Lowasa amewahi kuwaelezea uhusika wake na hizo
corruption?, mimi nikamjibu hapana. Akasema tena, Or was he cleared by the court?
yaani, je Mahakama iliona hana hatia?, nikamjibu kesi haijawahi kwenda Mahakamani.
Akauliza, then which criteria do you use to support him? Nikamjibu kwakweli sijui wananchi wanatumia kigezo gani.
Yule mzungu akasema, anyway, you are such amazing country, with this style it may
take you so many years to change."

Sent as received.
 
Nyerere anatufaa.
- Anachukia ufisadi
- anarudisha heshima ktk nchi na vyombo vya dola
- katiba ya Warioba

Queen Esther
 
Back
Top Bottom