Huwezi kuacha kumtaja Prof. Mark Mwandosya Kama kweli tunahitaji Kiongozi bora, hata watangaza nia wote ukiwauliza ni mtangaza nia yupi anaemwogopa, atakuambia ni Mwandosya, hana papala na anafanya mambo kwa maslahi ya taifa! Tusubiri tuone! Failure to that, bye bye ccm!