Kati ya hawa Wema Sepetu na Aunt Ezekiel nani mwenye mvuto katika bongo movie?

wema sauti yake nyembamba utadhani hayupo series,heri huyo mwingine
 
Ukweli lazima usemwe...Aunt anajua kubeba uhalisia yaabi hana mapozi kabisa kwenye camera..

Ila Wema naona uzungu mwingi sana na uhalisia haupo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom