Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Wanajamvi tujiulize swali hili maana kwa sasa linaonekana kuwa muhimu hasa baada ya kuonekana kwamba Chadema inakubalika kwa kasi sana hapa nchini -- hasa kwa vijana waliokata tamaa.
Hivi kati ya CCM na CUF ni chama kipi kitaanza kutokomea kutoka medani ya siasa za Tanzania?
Hivi kati ya CCM na CUF ni chama kipi kitaanza kutokomea kutoka medani ya siasa za Tanzania?