Kuna post ingine nimeiona inasomeka hivi-Kasulumbai ahukumiwa miezi 7 jela!!nimejaribu kuitafuta tena sasa hivi siioni nahisi kizunguzungu bado sijajua ukweli ni upi, huyu naye kaja na kichwa cha habari tu.
kama ni mazoezi basi bora angeeleza mke wake kapika nini leo na baadae ataelekea baa gani kunywa pombe kuliko hii aliyopost ambayo haina kichwa wala kiuno!!
Kuna uzi mwingine unasema Kaulumbai ahukumiwa miezi saba au kulipa fine uzi huu unasema kasulimbai kashinda kesi which is which?Mods mpo tu mnaangalia mkanganyiko huu nilidhani mngeingilia kati na kuzifuta thread zote mbili hadi uhakika upatikane!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.