Kiongozi kutembea nje ya ndoa si suala binafsi, rais wa Ufaransa kasababisha mkewe azimie kwa kuhusishwa na ngono nje ya ndoa baada ya gazeti kuandika uhusiano wake na mwigizaji wa kike nchini humo. Amebanwa na vyombo vya habari hadi kasema anaenda kwa Obama akirudi ndiyo atatoa uamuzi wake
Partner wa Rais wa Ufaransa anazimia nini, aache usanii. Yeye alimtoa mwenzake aliyekuwa amezaa watoto wa nne. Kuna usemi wa kidhungu usemao: If they have done it with you,they will do it to you. Cheaters dont see the problem.