Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 764
Hivi, kama ndoa ni public (which is not), tendo la ndoa nalo je?
Ni private!
Hivi, kama ndoa ni public (which is not), tendo la ndoa nalo je?
Ni private!
Ukicheat unaweza kupelekwa mahakamani na mkeo?Naam, kwamba mambo yahusuyo ndoa ya watu wawili yakiwemo mizozo na uzinifu ni mambo private yanaowahusu wahusika tu.
Ndiyo, mke wangu anaweza kunipeleka mahakamani lakini si member yeyote yule wa public. Wewe huwezi kunipeleka mahakamani kisa tu nimemi-cheat mke wangu. Au unaweza? If you can, go for it.Ukicheat unaweza kupelekwa mahkamni na mkeo?
Kwa sababu ndoa ni yetu sisi wawili. Wewe na babu yako hamuwezi kunipeleka mimi mahakamani na kudai alimony. Narudia tena, wewe na babu yako hamuwezi. Hata Mangi muuza duka hawezi. Hata shangazi yangu hawezi. Anayeweza ni mke wangu tu.Kama ni private kwanini apewe uwezo wa kukupeleka mahakamani na kudai support baada ya divorce?
Sijui. Labda waulize waliotunga hiyo tax code.Kwanini aliyeoa kodi yake ya mapato ni ndogo?
Mimi siwezi kwa sababu siyo shoga. Lakini wewe kama ni shoga na upo sehemu ambayo wanaruhusu ndoa za namna hiyo unaweza kabisa.Unaweza kumuoa shoga?
Hii mbona ni rahisi....kwa haraka haraka tu ninaweza kukutajia sababu mbili, nazo ni chances za genetic disorders na birth defects ni kubwa sana ikiwa kuna incest, na mbili, kulinda minors.... au incest?
Even personal conduct is regulated. So what's your point?why is marriage regulated?
Nawe ukiwemo! Ungesoma tu bila kujibu chochoteMbulula wote mnaojadili mambo ya chumbani
Naam, kwamba mambo yahusuyo ndoa ya watu wawili yakiwemo mizozo na uzinifu ni mambo private yanaowahusu wahusika tu.
Kwa hiyo aendelee kuzini tu!
Ndiyo, mke wangu anaweza kunipeleka mahakamani lakini si member yeyote yule wa public. Wewe huwezi kunipeleka mahakamani kisa tu nimemi-cheat mke wangu. Au unaweza? If you can, go for it.
Kwa sababu ndoa ni yetu sisi wawili. Wewe na babu yako hamuwezi kunipeleka mimi mahakamani na kudai alimony. Narudia tena, wewe na babu yako hamuwezi. Hata Mangi muuza duka hawezi. Hata shangazi yangu hawezi. Anayeweza ni mke wangu tu.
Sijui. Labda waulize waliotunga hiyo tax code.
Mimi siwezi kwa sababu siyo shoga. Lakini wewe kama ni shoga na upo sehemu ambayo wanaruhusu ndoa za namna hiyo unaweza kabisa.
Hii mbona ni rahisi....kwa haraka haraka tu ninaweza kukutajia sababu mbili, nazo ni chances za genetic disorders na birth defects ni kubwa sana ikiwa kuna incest, na mbili, kulinda minors.
Even personal conduct is regulated. So what's your point?
Hilo ni la yeye kuamua. Mimi hainihusu.
Wewe inakuhusu?
Kwa hiyo?1.Suala hapo ni involvement ya mahakama.
Kwani tunazungumzia mambo ya kula tigo au tunazungumzia mambo ya ukosefu wa uaminifu kwenye ndoa?Huwezi kushitakiwa kwa sababu unkula huku mdomo uko wazi, ingawa hiyo inaweza kumuudhi mkeo au mumeo.Na ninaweza kukupeleka mahakamani kama nikikutape unamla tigo mkeo na ukafungwa kwa ajili ya sodomy.
Wewe unajua?Najua hujui kwanini tax code ilitungwa hivyo.
And not all marital affairs are public affairs!3.Not all personal conducts are regulated,
Ahaa, so there is a line drawn somewhere, right? So goes for marriage. It's in the public's interest to know who's married to whom but private marital affairs like infidelity are not public matters.only those that have public interest in'em.
What flies above your head is the fact that that public interest is not unfettered.kwa mfano, suicide is illegal even if it's your life. The point is, marriage is public and there's always public interest in every marriage.
It's only that if you have convinced yourself that it is.THATS JUST A FACT NO MATTER WHAT YOU SAY
Sio lazima wote tumfuatilie. Wewe kama unataka mfuatilie.Pale mwanzo alipokuwa dj ilikuwa haina shida, but now lazima tumfuatilie kama kiongozi wa umma, hela tunayompa atakuja kutunyang'anyia wake zetu one day.
Ukishakua kiongozi wa umma huna cha mambo binafsi..Naam, kwamba mambo yahusuyo ndoa ya watu wawili yakiwemo mizozo na uzinifu ni mambo private yanaowahusu wahusika tu.
Viongozi wa CHADEMA ni majanga tupu.
Kwa hiyo kumbe Mh. Mbowe ni mzinzi kwa maana nyingine, tuhuma hizi ni za kweli.
Sasa kama maswala ya Uzinzi ni private affairs. Vipi hili swala la kupewa millions pesa za Tanzania na wale wale kila mara alikuwa akipanda kwenye majukwaa alikuwa anawaita mafisadi.
Pesa za huyu kada wa CCM alizochukua nazo ni private affairs
View attachment 132573
Tunaomba tufahamu mipaka ya private affairs nchini
Kama ameweza kuijibu hoja ya uzinzi, kwa nini hakutaka kuijibu hoja ya "double agent" kwa maana kuwa, mchana ni mpiga vita mafisadi na usiku ni mpokea pesa za mafisadi
Ukishakua kiongozi wa umma huna cha mambo binafsi..
teh teh, kwa hiyo mkuu ratiba ya jk na salma kulala ikoje?Ukishakua kiongozi wa umma huna cha mambo binafsi..