<br />Habari zenyewe kumbe ritz ndiyo kaposti! Nilidhani mtu mwenye akili kaposti kumbe mpumbavu ndiyo ameiposti. Nashangaa wakuu mnaendelea kujadili pumba.
sasa huu nao ni ufisadi? kuna mtu alishasema mahala fulani kwamba...nyie akili zenu ni za kukaririshwa kila kitu ...neno kwa neno...nukta kwa nukta...yaani reasoning capacity a.k.a intelligence ni zero kabisa! Sasa nani kakuambia magari ya serikali ni kama magari ya chama?Hali si swari ndani ya Chadema, baada kubainika baadhi ya viongozi wa juu wa cha hicho kufanya maamuzi ya ununuzi wa magari chakavu 'mitumba' yenye thamani ya sh 480 milioni. bila kuwashirikisha viongozi wengine wa Chadema, wakiongea kwa masikitiko makubwa Profesa Mwasiga Baregu na Dk Kitila Mkumbo ambao walinukuliwa wakisema, isingekuwa sahihi kwa chama hicho kinachopinga ufisadi kwa kununua magari chakavu 'mitumba' wakati wao wamekuwa wakiibana serikali isifanye hivyo. itakuwa vizuri hili swala Katibu mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, pamoja na Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe, walitolee ufafanuzi zaidi
Soma habari mbalimbali kwa umakini ndo utapata uwezo wa kujadili mada mbalimbali humu.hapa umekurupuka kwa kweli.Hali si swari ndani ya Chadema, baada kubainika baadhi ya viongozi wa juu wa cha hicho kufanya maamuzi ya ununuzi wa magari chakavu 'mitumba' yenye thamani ya sh 480 milioni. bila kuwashirikisha viongozi wengine wa Chadema, wakiongea kwa masikitiko makubwa Profesa Mwasiga Baregu na Dk Kitila Mkumbo ambao walinukuliwa wakisema, isingekuwa sahihi kwa chama hicho kinachopinga ufisadi kwa kununua magari chakavu 'mitumba' wakati wao wamekuwa wakiibana serikali isifanye hivyo. itakuwa vizuri hili swala Katibu mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, pamoja na Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe, walitolee ufafanuzi zaidi
akili yako ni kama ya View attachment 36589<br />
<br />
Hatubaguani hapa JF! Hakuna alie mkamilifu! Mbona Godbless Lema pamoja na kuwa chizi watu wa Arusha waliamua awakilishe mawazo yao bungeni! Kila mtu ana haki ya kuheshimiwa na kusikilizwa!
akili yako ni kama ya View attachment 36589
Hali si swari ndani ya Chadema, baada kubainika baadhi ya viongozi wa juu wa cha hicho kufanya maamuzi ya ununuzi wa magari chakavu 'mitumba' yenye thamani ya sh 480 milioni. bila kuwashirikisha viongozi wengine wa Chadema, wakiongea kwa masikitiko makubwa Profesa Mwasiga Baregu na Dk Kitila Mkumbo ambao walinukuliwa wakisema, isingekuwa sahihi kwa chama hicho kinachopinga ufisadi kwa kununua magari chakavu 'mitumba' wakati wao wamekuwa wakiibana serikali isifanye hivyo. itakuwa vizuri hili swala Katibu mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, pamoja na Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe, walitolee ufafanuzi zaidi
Mods msipompiga Ban huyu Mungi kwa kunitukana basi tachukuwa sheria mkononi mimi mwenyewe..PAW upo??Mods huo ni uonevu kabisa, yaani mme mpiga Daudi Mchambuzi wakati mnyama kafananishwa na mnyama mwenzake? je angesema unaakili kama ya Salma mngeweza kumpiga ban? Nguruwe ni mnyama, na binadamu ni jamii ya wanyama. hivyo Ritz kufananishwa na huyo mnyama sioni ajabu kabisa. tena mimi ningeongezea kuwa Ritz is half human being and half donkey, because he always speaks like a ndonkey, and acts like a human being.
Gamba rostamhii inanikumbusha kipindi cha uchaguzi. kulikuwa na link ya kupiga kura kwa wagombea urais. baada ya gazeti moja la kila wiki kutangaza kuwa 'wanamtandao wampa 76% dr. slaa, liliibuka kundi la watu wakawa wanapiga kura za maruhani kutaka kumpandisha chati mchakachuaji, lakini hatimaye walishindwa na kampeni zao chafu. now they are comming again baada ya kujivua gamba.
we are ready. well equiped.
karibuni sana.