Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Huyu ndio Rais wako na huna rais mwingine ! kodi yako anaikusanya na anaitumia kukuletea maendeleo ww , mkeo na watoto wako
Bila aibu,unabana pua na kusema "kodi anayokusanya anaitumia kuleta maendeleo..." Angekuwa anatumia vema kodi za mlipakodi wa Kitanzania mngejazana hapa kuuza utu wenu kutetea majambazi?Mnalipwa kiasi gani mpaka kuudmuza ubongo wenu kuangalia mambo yanyowazunguka?