.........
5.KABLA HUJATOKA MLANGONI UTAKUTANA NA WENGINE KAMA 5 HIVI HAWA HUWA WANAKUWA NA MASHATI MEUPE NAO HUJIITA IMMIGRATION OFFICERS AU SIKU NYINGINE UTAKUTANA NA MWINGINE ANAJIITA USALAMA WA TAIFA ATATAKA PASSPORT YAKO na ATAKUULIZA SAME QUESTIONS ULIOULIZWA KWENYE STAGE NUMBER 2 ..............
This is VERY TRUE..............imeshanitokea mara zote nilizokuwa natoka pale mlangoni (i.e.kutoka nje)
.........Uongo kama umekwisha gongewa passport hawawezi kukuuliza kitu huu ni uongo - Period!
 
 
Uongo huu..
 
GT umesafiri lini wewe? Mbona mimi nilikuwa na mizigo mingi tu na sikupata usumbufu?
 
 
GT huyo jamaa mwongo mimi sisafiri 1st class sina hiyo pesa. Tuwalaumu kwa mengine siyo hili na mie nabisha sio Uhamiaji walio karibu na mlangoni.
Wacha1.........watu hapa sio kwamba wanatunga.....ni mambo yaliyowakuta.........yaani ukitoka kwa Customs unapoelekea kwenye mlango wa kutoka nje pale mlangoni mara nyingi kunakuwepo Polisi......na sasa wapo pia hao jamaa wanaojiita siku nyingine Uhamiaji......siku nyingine Usalama wa Taifa.......yote hayo yamewahi kunifika mimi............. nilipoulizia inakuwaje....wakaniambia kuwa wanacheck passport za kugushi!!!!!!!!........na eti wana case nyingi tu wamezikamata kwa checking ya aina hiyo.......dah nilichoka kabisa............na kujiuliza maswali mengi sana kuhusu passport zetu...........
 
BTW Huyu jamaa kwani hajui sheria? Wewe tena umetoka majuu hujui sheria? Unababaishwa na procedural working routine?
Hebu tuambie Mkuu wengine hapa sheria imetupitia kando..........tukikutana na watu wa aina hiyo tuwaambieje?