Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Huu nadhani ni mwaka wa nne tangu tumekuwa tukizungumza na kutoa maoni kuhusu kadhia wanayopata wageni wanaoingia Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam DIA.
Sasa hebu someni hapo chini: hii nimeikuta Michuzi blog:
Nadhani its about time tukaacha kuongea na kuanza kuwataja kwa majina hawa jamaa.
Kwa kuanza nadhani ni muhimu tukajua Head of Immigration pale Airport ni nani? na anasemaje kuhusu malalamiko haya?
Wa pili ambaye anatakiwa kujibu hizi tuhuma ni Meneja wa Airport kwani pamoja na kuwa ni kituo cha kupokea wageni mbali mbali
1. CUSTOMER SERVICE pale ni poor na inatia kinyaaa kwanza wafanyakazi ni wajeuri na nishaona wanawafokea wageni bila sababu za msingi.
2. USAFI na UCHAFU wa mwili umeziachafu na wananuka jasho, pili whats so difficult kutengeneza escalators za kupanda kwenda juu na kushuka??
3. UCHAFU wa JENGO: Sijapata kuona International Airport iliyochafu kama ya Dar na kama imeshindikana yale matandabui yaliojazana mle nayo kazi kuondoa? yapo makampuni ya usafi left and right je wameshindwa hata kuwapa tenda ya kufanya usafi? maana wenyewe ndio weshashindwa.
4. CONGESTION: halafu aibu kubwa nyingine ni ile idara ya visa ambayo kusema kweli ule msomangano wa wale wageni kujaza form za visa unatisha na if anything ni kinyume cha health and safety.
5. IMMIGRATION: Its obvious wako understaffed na wako stressed na bila kusahau hawana vifaa vya kufanyia kazi. Lakini hiyo si sababu ya kujaza watu ambao wanapotezea wageni muda pale nje...hivi kuweka watu 8 baada ya customs kuuliza wageni maswali ni nini? I mean mtu keshamalizana na Immigration kisha keshamaliza na Cutoms kwa nini anakutana na watu ambao wanaficha vitambulisho huku wanajiita Immigration officials
6. JOTO: hivi how hard is it kutengeneza air condition mle ndani? kwa nini utawala wa DIA unawatesa watu kweli ile hali iliyo kama TANURI?
7.BAG BELTS MBOVU: I can live with the fact kuwa best labda mota imechakaa lakini ile sehemu inayotokea mzigo kwenye ukuta yaani ni CHAFU mpaka mtu unaogopa
Mwisho napenda kuwaomba waende kutembelea Airport ya Nairobi au Kigali waone wenzao wanavyofanya kazi kwa ufanisi.
Sasa hebu someni hapo chini: hii nimeikuta Michuzi blog:
Michu,
nibandie hii, email yako inagoma.
Nimeshuka airport juzi nikakutana na mambo 2 ambayo nataka wadau wengine wanishauri ingawa imekua ikirudiwa mara kadha wa kadha hapa:
1. Begi langu lilikua na wraping hivyo nikaambiwa nilifungue. nilifungua lakini vitu vyote ni vya kwangu naenda kutumia nyumbani kwangu. Hivi natakiwa nichajiwe kodi?
2.Nilipomalizana na ukaguzi (sikukubali kulipa), nilisogea mlangoni ili sasa nikutane na familia yangu kwa ajili ya mahug lakini nkakutana na watu 4 wamesimama mstari mmoja. Mmojawao akaniambia 'hebu tuone passport yako'. Hapa ndio nataka niulize maswali zaidi.
Hivi hawa wanauliza umekwenda nje kufanya nini ni kazi yao? vitambulisho vyao vilikua vimegeuzwa si rahisi kuona jina, je si haki yangu kukataa kumpa pasi yangu kama sioni kitambulisho chake? Mmoja wao alinitishia eti yeye anafanya kazi serikalini hivyo anaweza hata kunichelewesha nisitoke pale, je haki yangu iko wapi?
Kwa kutambua kuwa serikali yetu inapiga sana kelele na customer service mbovu, naomba mnipe ushauri wa busara nifanye nini maana watu wa namna hii hawatakiwi kabisa ku-face customers ndio wanaorudisha nyuma image yetu tuanonekana hovyo kumbe ni mijitu ambayo imeajiriwa kibahati, haina hata uchungu na nchi kazi njaa tu. walikuwepo watu 4 na kati yao namkumbuka mtu 1 aliyenisumbua sana na kunitukana, wenzake 3 walikua kimya waliona mwenzao keshakosea step.
Nadhani its about time tukaacha kuongea na kuanza kuwataja kwa majina hawa jamaa.
Kwa kuanza nadhani ni muhimu tukajua Head of Immigration pale Airport ni nani? na anasemaje kuhusu malalamiko haya?
Wa pili ambaye anatakiwa kujibu hizi tuhuma ni Meneja wa Airport kwani pamoja na kuwa ni kituo cha kupokea wageni mbali mbali
1. CUSTOMER SERVICE pale ni poor na inatia kinyaaa kwanza wafanyakazi ni wajeuri na nishaona wanawafokea wageni bila sababu za msingi.
2. USAFI na UCHAFU wa mwili umeziachafu na wananuka jasho, pili whats so difficult kutengeneza escalators za kupanda kwenda juu na kushuka??
3. UCHAFU wa JENGO: Sijapata kuona International Airport iliyochafu kama ya Dar na kama imeshindikana yale matandabui yaliojazana mle nayo kazi kuondoa? yapo makampuni ya usafi left and right je wameshindwa hata kuwapa tenda ya kufanya usafi? maana wenyewe ndio weshashindwa.
4. CONGESTION: halafu aibu kubwa nyingine ni ile idara ya visa ambayo kusema kweli ule msomangano wa wale wageni kujaza form za visa unatisha na if anything ni kinyume cha health and safety.
5. IMMIGRATION: Its obvious wako understaffed na wako stressed na bila kusahau hawana vifaa vya kufanyia kazi. Lakini hiyo si sababu ya kujaza watu ambao wanapotezea wageni muda pale nje...hivi kuweka watu 8 baada ya customs kuuliza wageni maswali ni nini? I mean mtu keshamalizana na Immigration kisha keshamaliza na Cutoms kwa nini anakutana na watu ambao wanaficha vitambulisho huku wanajiita Immigration officials
6. JOTO: hivi how hard is it kutengeneza air condition mle ndani? kwa nini utawala wa DIA unawatesa watu kweli ile hali iliyo kama TANURI?
7.BAG BELTS MBOVU: I can live with the fact kuwa best labda mota imechakaa lakini ile sehemu inayotokea mzigo kwenye ukuta yaani ni CHAFU mpaka mtu unaogopa
Mwisho napenda kuwaomba waende kutembelea Airport ya Nairobi au Kigali waone wenzao wanavyofanya kazi kwa ufanisi.