ADC - DIRA YA MABADILIKO ADC - TUMAINI LA MTANZANIA
Madhumuni yetu ni:
1. Kushika Dola kwa njia halali na za kidemokrasia.
2. Kujenga Umoja na Mshikamano imara kwa Watanzania wote.
3. Kujenga Uchumi Imara na kulinda rasilimali za nchi kwa manufaa ya watanzania wote.
4. Kupinga kwa nguvu zote aina zote za ubaguzi na ukandamizaji.
5. Kuheshimu mikataba ya kimataifa inayohusu haki halisi za binadamu.
ALLIANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE.
Sidhani kama ni tatizo kutumia kiingereza katika jina la chama kwani ni lugha official hapa nchini Tanzania. Mashuleni inatumika kufundishia na maofisini pia. Plus Uhuru wetu tuliukwaa kutoka kwa haohao Waingereza.
Hoja kuhusu Upandikizi na kwamba Uzuri wa Chadema sio kila mtu anaukubali na ndio maana hasa ya demokrasia. Lakini pia huko kuungana nadhani chadema ndio wa mwanzo kupinga muunganiko huo. Tumeona baada ya kuukwaa Ukuu wa Upinzani Bungeni hawajataka kushirikiana na chama chochote cha Upinzani.
Hiki chama chako mbona kimeanza vibaya? Yaani unaanza kwa kuvikandia vyama vyenzio vya upinzani? Hapa kazi ipo!!!
Tiba
Akili nyepesi unazo wewe babaangu kwani huwezi hata kuweka space kwny posts zako, nukta...mmmh! Jipange hakurupuki mtu hapa.:loco:
Haijataja pumba wala no research no right to speak, ila imesema tu kwamba 18. Kila mtu (a) anao uhuru wa kuwa na maoni na kueleza fikra zake. (b) anayo haki ya kutafuta, kupokea na kutoa habari bila ya kujali mipaka ya nchi. Sasaa sijaona sehemu waliyoandika Pumba No Reseach No..... Usiwe kama hilo jina lako kiongozi, Nijuavyo mimi Fungo ni kijimnyama fulani hv. Kipo kipo tuu. ok! Aliyekuita hvyo hajakosea.
kwa aina hii ya coment unanipa mashaka kidogo kujua nani akili zake zinafanya kazi vizuri na nani zinamtindio kwa kweli. Nimeona nikushike hapo kwny blue tu kuweza kukujuza ni namna gani kauwezo kako kalivyo kadogo kwenye kukokotoa mambo especially haya ya kisiasa.
Mfano mdogo tu ninaoweza kukupa kuhusiana na siasa na muda ni kwa majirani zetu tu wa hapo KENYA. PNU ie: Party of National Unit kilianzishwa rasmi tar. 16-sept-2007 na mwaka huohuo mwezi Dec 2007 wakasimamisha Mgombea wa RAISI ambaye ndie still President of the so called 'Republic of Kenya'
Imekaa vipi hii?
Samaki wana nafuu labda kama hata dagaa ni samaki pia!!
ADC; another surrogate son of CCM?!
NARUDIA TENA
Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 inasema:
Haki ya Uhuru na Mawazo:
18. Kila Mtu-
(a) anao uhuru wa kuwa na maoni na kueleza fikra zake;
Kifungu kimeafikiwa?
madrasa inakutesa wewe ndo maana hata kifungu cha uhuru wa kuabudu mkatumbukiza mahakama ya kadhi kaz mnayo vlaza nyinyi?
mafala ndo watajiunga hukoJina la chama linasadifu ukoloni wa mawazo. Jina la chama kwa Kiingereza. Chama hiki ni cha Tanzania au cha Waingereza? Sipendi sana watu wasiopenda kushirikiana na wenzao. Kuna vyama vingi sana hapa nchini je mmeona hakuna hata kimoja mnachoweza kushirikiana nao? Hii ndiyo maana naweza kusema mnatumika kuvuruga vyama. Ni kitu gani kitakacho nishawishi nisisema kwamba nyinyi ni chama pandikizi? Kama Chadema inafanya vizuri kabisa na bado hamwezi kushirikiana nao si mnataka kugawa kura ili CCM iendelee kutawala? Acheni ubinafsi.
mafala ndo watajiunga huko
Ofisi zenu hapa ruvuma ziko sehemu gani?
Hawana jipya hawa.Mbona rangi zao zinafafana naza Chadema!?