giiti junior
Senior Member
- Jun 30, 2012
- 144
- 22
Dah!vyama vingine kero tupu.
magambaz in a new face and colour. mbn bendera kama za M4c. re arange urself
Hawa ni wenye tamaa Kafulila na Hamad Rashid hawana jipya
ADC - DIRA YA MABADILIKO ADC - TUMAINI LA MTANZANIA
Madhumuni yetu ni:
1. Kushika Dola kwa njia halali na za kidemokrasia.
2. Kujenga Umoja na Mshikamano imara kwa Watanzania wote.
3. Kujenga Uchumi Imara na kulinda rasilimali za nchi kwa manufaa ya watanzania wote.
4. Kupinga kwa nguvu zote aina zote za ubaguzi na ukandamizaji.
5. Kuheshimu mikataba ya kimataifa inayohusu haki halisi za binadamu.
ALLIANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE.
Ni sacos ya wapi tena hii?
Uhakiki unaendelea....mambo ya Mara haya kwa kina Mtatiro yule wa Cuf na the late Chacha Wangwe (May God rest his soul in ertenal peace).
View attachment 59355View attachment 59356View attachment 59357
ADC - DIRA YA MABADILIKO ADC - TUMAINI LA MTANZANIA
Madhumuni yetu ni:
1. Kushika Dola kwa njia halali na za kidemokrasia.
2. Kujenga Umoja na Mshikamano imara kwa Watanzania wote.
3. Kujenga Uchumi Imara na kulinda rasilimali za nchi kwa manufaa ya watanzania wote.
4. Kupinga kwa nguvu zote aina zote za ubaguzi na ukandamizaji.
5. Kuheshimu mikataba ya kimataifa inayohusu haki halisi za binadamu.
ALLIANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE.
Hamna jipya mbona yote yanafanywa na waliopo, nina wasiwasi nawe ni ccm BKatiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema ibara ya 18(a) kila mtu anao uhuru wa kuwa na maoni na kueleza fikra zake.
Ni haki yako kikatiba bwana. naamini unalijua hilo.
mkuu hizi picha mmepigia kwenye mhadhara gani uliofanyika ndani? Pia napenda kufahamu kwamba ktk ajenda zenu kwenye huo mhadhara wenu je swala la mwezi mtukufu mlilizungumzia.?
Tumewapatia, Shibuda, Nchemba, Lukuvi, Ndungai na Manyanya, wanatosha? Wabembelezeni kama watakubali, mtakuwa mmepata wapambanaji wa uhakika.ADC - DIRA YA MABADILIKO ADC - TUMAINI LA MTANZANIA
Madhumuni yetu ni:
1. Kushika Dola kwa njia halali na za kidemokrasia.
2. Kujenga Umoja na Mshikamano imara kwa Watanzania wote.
3. Kujenga Uchumi Imara na kulinda rasilimali za nchi kwa manufaa ya watanzania wote.
4. Kupinga kwa nguvu zote aina zote za ubaguzi na ukandamizaji.
5. Kuheshimu mikataba ya kimataifa inayohusu haki halisi za binadamu.
ALLIANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE.
Tumewapatia, Shibuda, Nchemba, Lukuvi, Ndungai na Manyanya, wanatosha? Wabembelezeni kama watakubali, mtakuwa mmepata wapambanaji wa uhakika.