RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 3,590
- 8,475
Course zote za afya zina ushindani,na baadhi ya engineering mfano Petroleum&gas eng.Naomba msaada pls ntazitambua vp program zenye ushindan na zilzokua hazina pls pls pls
Course zote za afya zina ushindani,na baadhi ya engineering mfano Petroleum&gas eng.Naomba msaada pls ntazitambua vp program zenye ushindan na zilzokua hazina pls pls pls
Vp kuhusu DDS chuo unaenda matokeo ya Mwaka huuKwa mujib wa tcu, kuingia chuo kikuu ni lazima uwe na principle 2 zenye jumla ya pointi 4.
Computer science ni physics na mathematics.
Physics kapata D na mathematics E. Ukihesabu points hapo, unapata D+E= 3. (Sababu D=2 na E=1).Kwa hiyo hatopokelewa chuo kikuu.
dah yan mpaka mtu ukifkiria elimu unashindwa kupata majibuNdo ivyo ndugu za kuambiwa changanya na zako....ukimaliza kutafakari hili tafakari na la ajira pia.
Dont think so much...utakuwa exosted, relax tu as kila mbuzi hula usawa wa kamba yake. Mwisho wa siku utakuwa kwenye 18 zakodah yan mpaka mtu ukifkiria elimu unashindwa kupata majibu
Umesoma masomo gan adv.Naomba msaada pls ntazitambua vp program zenye ushindan na zilzokua hazina pls pls pls
mkuu sidhani kama anaweza endelea manake hiyo ni kmama sifuir kwa kipidi chetu sijui sasa labda ajaribu kufuatilia utaratibu wa diplooma.Mkuu kijana wangu amesoma PCB amepata 4.19 yaani S zote na F ya chemistry, anaweza kufanya nini kwa sasa???
HGLUmesoma masomo gan adv.
naomba huyo binti awe rafki yangu mkuu nimuoe kabisa mimi kaka yake niko first yearKE_PCM_ECE point 13,sijui watamchagua au ndio tumftafutie genge la nyanya maana pesa ya diploma hamna?
a b c d e s a=5, b=4, c=3, d=2, e=1, s=0.5. usiwe nahofu kijana point 4 unaenda chuo kikuu TCU wamefafanua jana, ila niambie unataka soma kozi gani mkuu?Wakuu shikamoo,
Mimi ni mtahiniwa wa ACSEE 2016, naomba mnisaidie grades zilizotumika kwenye upangaji matokeo yetu wakati wa usahishaji make mimi kama mimi zinanichanganya..msaada tafadhali
Oooh Gud..one more qn olevel ulipiga math fresh?
wamesema jana TCU wanaangalia cuttoff point tuu ambazo ni 4. nakwa mwaka jana diploma walikua wanachukua 2.7gpa. kuhusu diploma sijui ila f6 ni 4pointsNimeona kuna thread nyingi zimefunguliwa kila mtu akiulizia kuhusu kujiunga na chuoo na watu wamekuwa na Matokeo tofauti tofauti!!!
Kwa utaratibu ulio tolewa hivi karibu na tume ya vyuo vikuu ni kuwa CUTT POINT minimum ni 4.0 SASA BASI KATIKA MATOKEO YAKO AU YA NDUGU YAKO HAKIKISHA KUWA ANA (D,D)! NAKUENDELEA
Kama atakuwa ana D moja kushuka chini huyo chuo kikuu hataweza kwenda bila kujari combination alio isomaaa!!!
Na watu hao wengi wapo kwenye Division Three (3) ya point 15. Na wengine point 14! Usihangaike kuomba chuo kama huna D 2 na kuendelea!
Kwa watu wa Diploma ni GPA ya 3.5 kinyume cha hapo ni usisumbuke kuomba chuo kikuu
Huo ndio uelewa wangu kulingana na utaratibu wa chuo ulivyo kwa sasa!!!
Kama kuna mwenye nyongeza karibu
uzima ni jambo la kwanza mkuu. pia kama anamatokeo mazuri diploma anendaMimi nakushauri Chukua matokeo ya form four kama ni mazuli kasome certificate then diploma thrn utaenda degree,utachelewa kufika lakini utafika vizuli hizo S.S.Fzitakusumbua kupata chuo .Ukizingatia hivi karibuni kumekuwa na wanafunzi hewa,na wengine viwango kutotimia lakini wakaingia chuo. Chukua ushauri wangu mpeleke mwanao mwaka huu certificate september mwakani sio mbali atakuwa amemaliza certficate na baada ya hapo mwaka 2019 atakuwa amemaliza diploma.
Mtafutie Genge la nyanya maana hata akichaguliwa kwa kigezo cha kuwa na point 4 yaani C na E mkopo hawezi kupata kama hana division IIKE_PCM_ECE point 13,sijui watamchagua au ndio tumftafutie genge la nyanya maana pesa ya diploma hamna?
mkuu hapo kwenye c e sijaelewa maana wanasema ni principal pass 2 i mean d dMtafutie Genge la nyanya maana hata akichaguliwa kwa kigezo cha kuwa na point 4 yaani C na E mkopo hawezi kupata kama hana division IIView attachment 367054
Math E 2013Oooh Gud..one more qn olevel ulipiga math fresh?